Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ
18 - رجب - 1442 هـ
02 - 03 - 2021 مـ
04:12 مساءً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ili kufwatilia cha bayana asili]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=344417
_____________

إعلان موعد ليلة القدر خير من ألف شهر لمن شاء منكم أن يتقدّم أو يتأخّر ..
Tangazo La Tokeo Ya Siku Ya Qadar (Leilatul Al’QAdar) Bora Kuliko Miyezi Alfu Kwa Yule Atakae Miongoni Mwenu Kutangulia Ama Kuchelewa ..

Bismillah Al’Rahman Al’Rahim
{ H'a Mim (1) Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha (2) Hakika tumekiteremsha katika usiku ulio barikiwa. Hakika Sisi ni Waonyaji (3) Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima (4) Jambo litokalo kwetu. Hakika Sisi ndio wenye kutuma (5) Ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kujua (6) Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, ikiwa nyinyi mna yakini (7) Hakuna mungu ila Yeye; anahuisha na anafisha- Mola Mlezi wenu na Mola Mlezi wa baba zenu wa mwanzo (8) Lakini wao wanacheza katika shaka (9) Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapo leta moshi ulio dhaahiri (10) Utakao wafunika watu: Hii ni adhabu chungu (11) Mola wetu Mlezi! Tuondolee adhabu hii. Hakika tutaamini (12) Nini faida ya kukumbuka kwao? Na alikwisha wafikia Mtume mwenye kubainisha (13) Na wao wakamgeuzia uso, na wakasema: Huyu amefunzwa, naye ni mwendawazimu (14) Hakika sisi tutaiondoa adhabu kidogo, lakini nyinyi kwa yakini mtarejea vile vile (15) Siku tutayo yashambulia mashambulio makubwa, bila ya shaka Sisi ni wenye kutesa (16)}
Sadaqa Allah Al3adhim [Adukhan].
بسم الله الرحمن الرحيم
{ حم ﴿١﴾ وَالْكِتَابِ الْمُبِينِ ﴿٢﴾ إِنَّا أَنزَلْنَاهُ فِي لَيْلَةٍ مُّبَارَكَةٍ ۚ إِنَّا كُنَّا مُنذِرِينَ ﴿٣﴾ فِيهَا يُفْرَقُ كُلُّ أَمْرٍ حَكِيمٍ ﴿٤﴾ أَمْرًا مِّنْ عِندِنَا ۚ إِنَّا كُنَّا مُرْسِلِينَ ﴿٥﴾ رَحْمَةً مِّن رَّبِّكَ ۚ إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ﴿٦﴾ رَبِّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا ۖ إِن كُنتُم مُّوقِنِينَ ﴿٧﴾ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ يُحْيِي وَيُمِيتُ ۖ رَبُّكُمْ وَرَبُّ آبَائِكُمُ الْأَوَّلِينَ ﴿٨﴾ بَلْ هُمْ فِي شَكٍّ يَلْعَبُونَ ﴿٩﴾ فَارْتَقِبْ يَوْمَ تَأْتِي السَّمَاءُ بِدُخَانٍ مُّبِينٍ ﴿١٠﴾ يَغْشَى النَّاسَ ۖ هَـٰذَا عَذَابٌ أَلِيمٌ ﴿١١﴾ رَّبَّنَا اكْشِفْ عَنَّا الْعَذَابَ إِنَّا مُؤْمِنُونَ ﴿١٢﴾ أَنَّىٰ لَهُمُ الذِّكْرَىٰ وَقَدْ جَاءَهُمْ رَسُولٌ مُّبِينٌ ﴿١٣﴾ ثُمَّ تَوَلَّوْا عَنْهُ وَقَالُوا مُعَلَّمٌ مَّجْنُونٌ ﴿١٤﴾ إِنَّا كَاشِفُو الْعَذَابِ قَلِيلًا ۚ إِنَّكُمْ عَائِدُونَ ﴿١٥﴾ يَوْمَ نَبْطِشُ الْبَطْشَةَ الْكُبْرَىٰ إِنَّا مُنتَقِمُونَ ﴿١٦﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الدخان ].

kutoka kwa Khalifa Wa Allah ju ya ulimwengu Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani kwa watu wote katika ubeduwini na Mijini katika mashariki ya dunia na magharibi yake, Kuweni mashahidi ju ya Nafsi zenu (Wanadamu wote mwislamu miongoni mwao na kafiri) Na tosha Allah Kua shahidi baina yangu na baina yenu kwamba mimi nimewatangazia kua jua limefikia mwezi ikazaliwa mwandamu kabla ya kushikana kituoni kwa jua na mwezi ikakutana nao jua nae ni mwandamo; Onyo kwa wanadamu na haifali maonyaji kwa watu ambao hawatafakari kama mangombe itakavo kufikilia jua kwa mwezi siku mbili ama siku tatu, Basi hakika watakanusha watakadhibisha ishara ya kusadikisha ya kiulimwengu ya khalifa wa Allah Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani na kusadikisha sharti katika ma sharti ya saa kuu kama kwamba wao hawaoni mwezi umetokezea kua kamili "albadr" kabla usiku wa nusu wa mwezi, Bali wao kama wanyama bali wao wamepotea njia kuliko wanyama wale wanao kadhibisha masikio yao na macho yao na akili zao na wanafwata kila mwenye kiburi mkaidi anaezuwia ukweli wa ma aya za Al'Quran Al'Majid katika wanasayansi wa falaki wenye kiburi wale imewachukua utukufu kwa dhambi baada kubainika kwao kua ni haki kutoka kwa Mola wao Mlezi na kua wao wame watii viongozi wao ili kuficha ishara ya kusadikisha kwa khalifa wa Allah Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani, Pamoja ya kua viongozi wa waislamu na wa ulimwenu lau wange msadikisha khalifa wa Allah Al'Mahdi Nasser Muhammad Ange waghufuria Allah wao israfu zao katika mambo yao na hange waongezea Allah wao ispokua utukufu ju ya utukufu wao, Basi vipi wanakanusha ishara ya mwezi kua kamili "Albadr" kbla wakati wake kwa sababu kua jua limefikilia mwezi? Kisha wanachezea shere akili za walio potea katika waislamu wale wanao wasadiki wenye kiburi wanao zuwia na wanakadhibisha akili zao na macho yao hawo hawatumi akili wala hawaoni, Ama wanataka kungoja mpaka usiku upite mchana ama jambo kutoka kwa Allah moja kwa moja kwa "Kun Fayakun" kua na linakua kisha wasipate kunusuriwa? Na Akasema Allah Ta3ala:
{Kwa nini usiwepo mji mmoja ukaamini na Imani yake ikawafaa - isipo kuwa kaumu Yunus? Waliamini na Sisi tukawaondolea adhabu ya hizaya katika maisha ya dunia, na tukawastarehesha kwa muda (98) Angeli taka Mola wako Mlezi wangeli amini wote waliomo katika ardhi. Je, wewe utawalazimisha watu kwa nguvu mpaka wawe Waumini (99) Na hawezi mtu kuamini ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Naye hujaalia adhabu iwafike wasio tumia akili zao (100) Sema: Angalieni yaliomo mbinguni na kwenye ardhi! Na Ishara zote na maonyo hayawafai kitu watu wasio amini (101) Basi, je! Wanangojea jingine ila kama yaliyo tokea siku za watu walio pita kabla yao? Ngojeni! Nami ni pamoja nanyi katika wanao ngoja (102) Kisha Sisi huwaokoa Mitume wetu na walio amini. Ndio kama hivyo, inatustahiki kuwaokoa Waumini (103) Sema: Enyi watu! Ikiwa nyinyi mnayo shaka katika Dini yangu, basi mimi siwaabudu mnao waabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu. Lakini mimi namuabudu Mwenyezi Mungu anaye kufisheni. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waumini (104) Na uelekeze uso wako kwenye Dini ya Kweli, wala usiwe katika washirikina (105) Na wala usiwaombe wasio kuwa Mwenyezi Mungu ambao hawakufai kitu wala hawakudhuru. Ukifanya hivyo basi utakuwa
miongoni mwa walio dhulumu (106)}
Sadaqa Allah Al3adhim [Yunus].



{ فَلَوْلَا كَانَتْ قَرْيَةٌ آمَنَتْ فَنَفَعَهَا إِيمَانُهَا إِلَّا قَوْمَ يُونُسَ لَمَّا آمَنُوا كَشَفْنَا عَنْهُمْ عَذَابَ الْخِزْيِ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَمَتَّعْنَاهُمْ إِلَىٰ حِينٍ ﴿٩٨﴾ وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ لَآمَنَ مَن فِي الْأَرْضِ كُلُّهُمْ جَمِيعًا ۚ أَفَأَنتَ تُكْرِهُ النَّاسَ حَتَّىٰ يَكُونُوا مُؤْمِنِينَ ﴿٩٩﴾ وَمَا كَانَ لِنَفْسٍ أَن تُؤْمِنَ إِلَّا بِإِذْنِ اللَّـهِ ۚ وَيَجْعَلُ الرِّجْسَ عَلَى الَّذِينَ لَا يَعْقِلُونَ ﴿١٠٠﴾ قُلِ انظُرُوا مَاذَا فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ وَمَا تُغْنِي الْآيَاتُ وَالنُّذُرُ عَن قَوْمٍ لَّا يُؤْمِنُونَ ﴿١٠١﴾ فَهَلْ يَنتَظِرُونَ إِلَّا مِثْلَ أَيَّامِ الَّذِينَ خَلَوْا مِن قَبْلِهِمْ ۚ قُلْ فَانتَظِرُوا إِنِّي مَعَكُم مِّنَ الْمُنتَظِرِينَ ﴿١٠٢﴾ ثُمَّ نُنَجِّي رُسُلَنَا وَالَّذِينَ آمَنُوا ۚ كَذَٰلِكَ حَقًّا عَلَيْنَا نُنجِ الْمُؤْمِنِينَ ﴿١٠٣﴾ قُلْ يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِن كُنتُمْ فِي شَكٍّ مِّن دِينِي فَلَا أَعْبُدُ الَّذِينَ تَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ وَلَـٰكِنْ أَعْبُدُ اللَّـهَ الَّذِي يَتَوَفَّاكُمْ ۖ وَأُمِرْتُ أَنْ أَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ ﴿١٠٤﴾ وَأَنْ أَقِمْ وَجْهَكَ لِلدِّينِ حَنِيفًا وَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُشْرِكِينَ ﴿١٠٥﴾ وَلَا تَدْعُ مِن دُونِ اللَّـهِ مَا لَا يَنفَعُكَ وَلَا يَضُرُّكَ ۖ فَإِن فَعَلْتَ فَإِنَّكَ إِذًا مِّنَ الظَّالِمِينَ ﴿١٠٦﴾ }
صدق الله العظيم [ سورة يونس ].

Na najilinda kwa Allah niwe katika ma dhalimu, Bali Allah ndio nnae mwabudu kiundani ni yake dini na nime amirishwa niwe katika ya waislamu wanao mfwata Muhammad Mtume wa Allah Sala Allahu Aleyhi wa Alihi wa Salam na nilinganie kwa Allah kwa "Basira" ya Muhammad Mtume wa Allah Sala Allahu Aleyhi wa Alihi wa Salam, Ispokua kumfwata kwake ni wahoji watu kwa kujua ambao imeteremka ju yake kutoka kwa Mola wake Mlezi A'Quran Al3adhim, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ Na ishara ngapi katika mbingu na ardhi wanazo zipitia, na hali ya kuwa wanazipuuza (105) Na wengi katika wao hawamuamini Mwenyezi Mungu pasina kuwa ni washirikina (106) Je! Wanaaminisha kuwa haitowajia adhabu ya Mwenyezi Mungu ya kuwagubika, au haitawafikia Saa ya Kiyama kwa ghafla, na hali hawatambui (107) Sema: Hii ndiyo Njia yangu - ninalingania kwa Mwenyezi Mungu kwa kujua - mimi na wanao nifuata. Na ametakasika Mwenyezi Mungu! Wala mimi si katika washirikina (108)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yusuf].
{ وَكَأَيِّن مِّنْ آيَةٍ فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ يَمُرُّونَ عَلَيْهَا وَهُمْ عَنْهَا مُعْرِضُونَ ﴿١٠٥﴾ وَمَا يُؤْمِنُ أَكْثَرُهُم بِاللَّـهِ إِلَّا وَهُم مُّشْرِكُونَ ﴿١٠٦﴾ أَفَأَمِنُوا أَن تَأْتِيَهُمْ غَاشِيَةٌ مِّنْ عَذَابِ اللَّـهِ أَوْ تَأْتِيَهُمُ السَّاعَةُ بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ ﴿١٠٧﴾ قُلْ هَـٰذِهِ سَبِيلِي أَدْعُو إِلَى اللَّـهِ ۚ عَلَىٰ بَصِيرَةٍ أَنَا وَمَنِ اتَّبَعَنِي ۖ وَسُبْحَانَ اللَّـهِ وَمَا أَنَا مِنَ الْمُشْرِكِينَ ﴿١٠٨﴾ } [ سورة يوسف ].

Na kwa hakika amelijalia Allah kwenye jina langu habari yangu (Nasser Muhmmad), Na wala haitakiwi kwa Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad kua Amtumilize Allah kua "Nasseran" Mnusuraji kwa yoyote katika ma hizbu za kutengana na unafiki mpaka siku ya makutano, Basi sikizeni na muelewe na mutie akili! Hakika Amenitumiliza Allah Al3aziz Al'Hamid kwa bayana ya haki ya Al'Qura Al'Majid Akaifanya kuliani mwangu kama panga kutokana na chuma ilio nolewa mpaka nikate nalo ndimi ya kila jabari mkaidi, Wala sio kwa kumwaga damu bali kwa utawala wa ilimu ndio niwafanye katika khiyari mbili, Ya muamini kwa Al'Quran Al3adhim ama kukufuru kwa ukumbusho wa Allah Al'Quran Al3adhim; Na atakae kukufuru basi mwisho wake ni katika moto na atakae mfwata mlinganizi wa Allah khalifa wake Al'Mahdi Nasser Muhammad kwa kufwata Al'Quran Al3adhim basi hakika ameongozwa kwa njia ilio nyoka, Na wala sikuwalingania binadamu ili wamwage damu ya baadhi yao ju ya baadhi! Basi atakae aamini na atakae akufuru, Na wala hakutumiliza Allah Al'Quran Al3adhim ispokua ni rehema kwa ulimwengu ili awaongoze katika njia za amani baina yao, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ Enyi Watu wa Kitabu! Amekwisha kujieni Mtume wetu anaye kufichulieni mengi mliyo kuwa mkiyaficha katika Kitabu, na anaye samehe mengi. Bila shaka imekujieni kutoka kwa Mwenyezi Mungu nuru na Kitabu kinacho bainisha (15) Mwenyezi Mungu huwaongoa wenye kufuata radhi yake katika njia za salama, na huwatoa katika giza kuwapeleka kwenye nuru kwa amri yake, na huwaongoa kwenye njia iliyo nyooka (16) Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu. Sema: Ni nani mwenye kumiliki cho chote mbele ya Mwenyezi Mungu ikiwa Yeye angetaka kumuangamiza Masihi mwana wa Maryamu, na mama yake, na wote waliomo katika ardhi? Na mamlaka ya mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake ni vya Mwenyezi Mungu. Huumba apendavyo. Na Mwenyezi Mungu anao uweza juu ya kila kitu (17)}
Sadaqa Allah Al3adhim [Almaida].

{ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ قَدْ جَاءَكُمْ رَسُولُنَا يُبَيِّنُ لَكُمْ كَثِيرًا مِّمَّا كُنتُمْ تُخْفُونَ مِنَ الْكِتَابِ وَيَعْفُو عَن كَثِيرٍ ۚ قَدْ جَاءَكُم مِّنَ اللَّـهِ نُورٌ وَكِتَابٌ مُّبِينٌ ﴿١٥﴾ يَهْدِي بِهِ اللَّـهُ مَنِ اتَّبَعَ رِضْوَانَهُ سُبُلَ السَّلَامِ وَيُخْرِجُهُم مِّنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ بِإِذْنِهِ وَيَهْدِيهِمْ إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿١٦﴾ لَّقَدْ كَفَرَ الَّذِينَ قَالُوا إِنَّ اللَّـهَ هُوَ الْمَسِيحُ ابْنُ مَرْيَمَ ۚ قُلْ فَمَن يَمْلِكُ مِنَ اللَّـهِ شَيْئًا إِنْ أَرَادَ أَن يُهْلِكَ الْمَسِيحَ ابْنَ مَرْيَمَ وَأُمَّهُ وَمَن فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا ۗ وَلِلَّـهِ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا ۚ يَخْلُقُ مَا يَشَاءُ ۚ وَاللَّـهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ ﴿١٧﴾ }
[ سورة المائدة ].

Na enyi ma3ashara ya waislamu na ma yahudi na wakristo na walio potea katika binadamu wote, Basi hakika hamuko katika kitu mpaka mufwate ilio wazi maana yake ilio teremshwa ju yenu kutoka kwa Mola wenu Mlezi kwenye Al'Quran Al3adhim yakataza kumdhulumu mtu ju ya nduguyake mtu; Ndio yakataza kumwaga damu baina ya wanadamu na yaharamisha ku muwa mwenye kumkufuru Allah kwa hoja ya kukufuru kwake na yaharamisha kumuwa mwislamu kwa hoja ya usislamu wake, Basi kila moja hisabu yake kwa Mola wake Mlezi, Atakae amini na atakae akufuru, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ Na sema: Hii ni kweli itokayo kwa Mola wako Mlezi. Basi atakaye, aamini. Na atakaye, akatae. Hakika Sisi tumewaandalia wenye kudhulumu Moto ambao utawazunguka kama khema. Na wakiomba msaada watasaidiwa kwa kupewa maji kama mafuta yaliyo tibuka. Yatayo wababua nyuso zao. Kinywaji hicho ni kiovu mno! Na matandiko hayo ya kupumzikia ni maovu mno (29) Hakika wale walio amini na wakatenda mema - hakika Sisi hatupotezi ujira wa anaye tenda mema (30) Hao watapata Bustani za milele, zinazo pita mito kati yake. Humo watapambwa kwa mavazi ya mikononi ya dhahabu, na watavaa nguo za kijani za hariri na at'ilasi, huku wakiegemea humo juu ya makochi. Ni malipo bora hayo! Na matandiko mazuri mno ya kupumzikia (31)}
Sadaqa Allah Al3adhim [Alkahf].


{ وَقُلِ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ ۖ فَمَن شَاءَ فَلْيُؤْمِن وَمَن شَاءَ فَلْيَكْفُرْ ۚ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ سُرَادِقُهَا ۚ وَإِن يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي الْوُجُوهَ ۚ بِئْسَ الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا ﴿٢٩﴾ إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ إِنَّا لَا نُضِيعُ أَجْرَ مَنْ أَحْسَنَ عَمَلًا ﴿٣٠﴾ أُولَـٰئِكَ لَهُمْ جَنَّاتُ عَدْنٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهِمُ الْأَنْهَارُ يُحَلَّوْنَ فِيهَا مِنْ أَسَاوِرَ مِن ذَهَبٍ وَيَلْبَسُونَ ثِيَابًا خُضْرًا مِّن سُندُسٍ وَإِسْتَبْرَقٍ مُّتَّكِئِينَ فِيهَا عَلَى الْأَرَائِكِ ۚ نِعْمَ الثَّوَابُ وَحَسُنَتْ مُرْتَفَقًا ﴿٣١﴾ } [ سورة الكهف ].

Na yaharamisha Al'Quran Al3adhim Ugaidi kutoka kwa kafiri ju ya mwislamu na yaharamisha ugaidi kutoka kwa mwislamu ju ya kafiri, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ Sema: Enyi makafiri! (1) Siabudu mnacho kiabudu (2) Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu (3) Wala sitaabudu mnacho abudu (4) Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu (5) Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu (6)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alkafirun].
{ قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾ لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾ وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ ﴿٤﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٥﴾ لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ ﴿٦﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الكافرون ].

Na labda huwenda kutaka moja katika waulizaji aseme: Ewe Nasser Muhammad, Hivi sio sura ya (Alkafirun) Yatakiwa itosheleze aya zifwatazo pekeyake katika kauli ya Allah Ta3ala:
{ Sema: Enyi makafiri! (1) Siabudu mnacho kiabudu (2) Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu (3)}Sadaqa Allah Al3adhim


{ قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾ لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾ } صدق الله العظيم؟
Basi kwanini imekariri aya hio hio kwenye sura moja? Basi angalia kukariri katika sura ya (Alkafirun), Amesema Allah Ta3ala:
{ Sema: Enyi makafiri! (1) Siabudu mnacho kiabudu (2) Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu (3) Wala sitaabudu mnacho abudu (4) Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu (5) Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu (6)} [Alkafirun].


{ قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾ لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾ وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ ﴿٤﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٥﴾ لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ ﴿٦﴾ }[ سورة الكافرون ].

Kisha anarudisha jibu ju ya waulizaji Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Khalifa wa Allah ju ya ulimwengu na nasema: Kuhusu amri ya Allah Ta3ala ju ya Mtume wake pindi walipo taka kwake awe mara akiabudu miungu yao na mara ingine watamwabudu Allah pekeyake mara ingine ndio Allah Akamwamuru kua aseme:
{ Sema: Enyi makafiri! (1) Siabudu mnacho kiabudu (2) Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu (3)} Sadaqa Allah Al3adhim


{ قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾ لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾ } صدق الله العظيم.
Na akusudia kwamba kila moja abudu anao taka basi yule atakae kumwabudu Allah peke basi amwabudu na atakae kuabudu kitu kingine pasi na Allah batili basi abudu na hisabu yake ju ya Mola wake Mlezi, Na ama munayo dhani kua ni aya imekariri katika kauli Yake:
{Wala sitaabudu mnacho abudu (4)};
وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ ﴿٤﴾ }
؛
Akusudia: Haitakiwi kwenu kwamba munilazimishe niabudi miungu wenu.
Na ama inao kusudiwa katika kauli Yake:
{Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu (5)}

{ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٥﴾ }
Anakusudia: Na wala haitakiwi kwangu niwalazimishe kumwabudu Mungu wangu; Na Allah Peke ni Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi; Basi hakuna kulazimisha katika dini ya Allah, Na ama kauli Yake:


{Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu (6)} Sadaqa Allah Al3adhim,
{ لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ ﴿٦﴾ } صدق الله العظيم،
Akusudia uhuru wa kuitakidi katika kuabudu baina ya binadamu na ndugu yake binadamu, Nyinyi mna dini yenu, Nami nina dini yangu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ Sema: Mwenyezi Mungu tu namuabudu kwa kumsafishia Yeye tu Dini yangu (14) Basi nyinyi abuduni mpendacho badala yake Yeye. Sema: Hakika walio khasirika ni wale walio jikhasiri nafsi zao na ahali zao Siku ya Kiyama. Tambueni kuwa hiyo ndiyo khasara iliyo dhaahiri (15)} Sadaqa Allah Al3adhim [Azumur].


{ قُلِ اللَّـهَ أَعْبُدُ مُخْلِصًا لَّهُ دِينِي ﴿١٤﴾ فَاعْبُدُوا مَا شِئْتُم مِّن دُونِهِ ۗ قُلْ إِنَّ الْخَاسِرِينَ الَّذِينَ خَسِرُوا أَنفُسَهُمْ وَأَهْلِيهِمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۗ أَلَا ذَٰلِكَ هُوَ الْخُسْرَانُ الْمُبِينُ ﴿١٥﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الزمر ].

Na huwenda kutaka moja kati ya waulizaji kusema: Ewe Nasser Muhammad, Hivi Hajasema Allah Ta3ala:
{ Basi waandalieni nguvu kama muwezavyo, na kwa farasi walio fungwa tayari-tayari, ili kuwatishia maadui wa Mwenyezi Mungu na maadui zenu, na wengineo ambao hamwajui, lakini Mwenyezi Mungu anawajua. Na mkitoa chochote katika Njia ya Mwenyezi Mungu mtarudishiwa, na wala nyinyi hamtadhulumiwa (60) Na wakielekea amani nawe pia elekea, na mtegemee Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua (61)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanfal].
{ وَأَعِدُّوا لَهُم مَّا اسْتَطَعْتُم مِّن قُوَّةٍ وَمِن رِّبَاطِ الْخَيْلِ تُرْهِبُونَ بِهِ عَدُوَّ اللَّـهِ وَعَدُوَّكُمْ وَآخَرِينَ مِن دُونِهِمْ لَا تَعْلَمُونَهُمُ اللَّـهُ يَعْلَمُهُمْ ۚ وَمَا تُنفِقُوا مِن شَيْءٍ فِي سَبِيلِ اللَّـهِ يُوَفَّ إِلَيْكُمْ وَأَنتُمْ لَا تُظْلَمُونَ ﴿٦٠﴾ وَإِن جَنَحُوا لِلسَّلْمِ فَاجْنَحْ لَهَا وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ ۚ إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ﴿٦١﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الأنفال ].

Kisha Anarudisha jibu Al'imam Al'Mahdi ju ya waulizaji na nasema:
Ispokua Anakusudia Allah kua mu andae mandalizi ili mue tayari kwa vita kwajili watishike kupigana vita na nyinyi na kuwatoweni katika nyumba zenu ndio mutaepuka na shari ya yule atakae kuwapiga vita katika dini yenu wakati wakiwaona muko tayari kutetea dini yenu na nafsi zenu na ardhi zenu na nymba zenu kisha watatishika kupigana na nyinyi kwa dini yenu na kuwatoweni kwa manymba zenu na kuwafanyi uwadui ju yenu ndio warudi kutopigana na nyinyi; Kwakua wame waona mumejianda na muko tayari kupigana vita kwa yule atakae kufanya uwaduwi ju yenu, Na hivo hivo Akusudia kua nyinyi hivo hivo mutaenda kuepukana na mandalizi ya shari ya ma aduwi wenu wengine hamuwajuwi; Ndio watatishika hawato weza tena kuwafanyia uwaduwi kwa sababu ya kujianda kwenu na kua tayari kupigana vita kujitetea nafsi zenu ndio watishike kufanya uwaduwi ju yenu ndio muepuke shari lao ndio waondoshe macho yao kuwafanyia hila kuwapiga vita ndio mutajiepusha na shari lao na uwaduwi wao kwa sababu ya kujianda na kujiweka tayari kwa vita kwa yule atakae kuwapiga vita kwa uwadui na dhulma kiasi ya kwamba miongoni mwao hamuwajuwi wala hamuna ilimu nao kwamba wao ni maaduwi wenu lakini mutakua nyinyi mumejiepusha na shari lao kwa sababu ya kujianda sawa kwa wale walio jidhihirisha uwaduwi ju yenu ama kwa wale walio ficha uwaduwi ju yenu ndio walaze siri ya hila ju yenu, Basi hivo hivo mutajiepusha kutokana na shari ya ma aduwi zenu walio dhahiri na walio jificha, Kwa Sababu Ya kuanda mandalizi ya vita ili kua tayari kutetea nafsi zenu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{{ Basi waandalieni nguvu kama muwezavyo, na kwa farasi walio fungwa tayari-tayari, ili kuwatishia maadui wa Mwenyezi Mungu na maadui zenu, na wengineo ambao hamwajui, lakini Mwenyezi Mungu anawajua. Na mkitoa chochote katika Njia ya Mwenyezi Mungu mtarudishiwa, na wala nyinyi hamtadhulumiwa (60)} [Alanfal].
{ وَأَعِدُّوا لَهُم مَّا اسْتَطَعْتُم مِّن قُوَّةٍ وَمِن رِّبَاطِ الْخَيْلِ تُرْهِبُونَ بِهِ عَدُوَّ اللَّـهِ وَعَدُوَّكُمْ وَآخَرِينَ مِن دُونِهِمْ لَا تَعْلَمُونَهُمُ اللَّـهُ يَعْلَمُهُمْ ۚ وَمَا تُنفِقُوا مِن شَيْءٍ فِي سَبِيلِ اللَّـهِ يُوَفَّ إِلَيْكُمْ وَأَنتُمْ لَا تُظْلَمُونَ ﴿٦٠﴾ } [ سورة الأنفال ].

Na atakae ku uwa mwislamu kwa hoja ya uwislamu wake kwa Allah Mola Mlezi wa ulimwengu basi hukumu ya Allah ni kuliwa kwa yule kafiri alio fanya uwadui, Na atakae ku muwa kafiri kwa hoja ya ukafiri wake kwa Allah Mola Mlezi wa ulimwengu basi hukumu ya Allah ni kuliwa yule mwislamu alio fanya uwaduwi, Basi hakika Hajaamuru Allah kua muwafanyie watu uwaduwi kwa hoja ya kukufuru kwao bali pekeyake kwa yule atakae kuwapiga vita kwa uwaduwi na dhulma, Basi hapo ni haki kwenu kufanya jihadi katika njia ya Allah ili kutetea nafsi zenu Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui(190)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].
{ وَقَاتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ الَّذِينَ يُقَاتِلُونَكُمْ وَلَا تَعْتَدُوا ۚ إِنَّ اللَّـهَ لَا يُحِبُّ الْمُعْتَدِينَ ﴿١٩٠﴾ } صدق الله العظيم [ سورة البقرة ].

Kwakua wale hawa wapigi vita na nyinyi basi hawo Allah hakuwapa nyinyi njia ya kupigana na wao,
Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Basi wakijitenga nanyi, wasipigane nanyi, na wakakuleteeni amani, basi Mwenyezi Mungu hakukupeni njia kupigana nao(90)}


{ فَإِنِ اعْتَزَلُوكُمْ فَلَمْ يُقَاتِلُوكُمْ وَأَلْقَوْا إِلَيْكُمُ السَّلَمَ فَمَا جَعَلَ اللَّـهُ لَكُمْ عَلَيْهِمْ سَبِيلًا ﴿٩٠﴾ } صدق الله العظيم [ سورة النساء ].

Basi musitaki suluhu na yule atakae kuwapiga vita uwaduwi na dhulma kwakua kutaka kwa anae fanya uwaduwi kufanya nae suluhu basi atachukulia kua ni kujisalimisha ndio atazidi kujigamba na kuvamia, Basi hio ndio inao kusudiwa katika kauli ya Allah Ta3ala:
{Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume, wala msiviharibu vitendo vyenu (33) Hakika walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu, kisha wakafa na hali ni makafiri, Mwenyezi Mungu hatawasamehe makosa yao (34) Basi msiregee na kutaka suluhu, maana nyinyi ndio mtakao shinda. Na Mwenyezi Mungu yu pamoja nanyi, wala hatakunyimeni malipo ya vitendo vyenu (35)} Sadaqa Allah Al3adhim [Muhammad].
{ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا أَطِيعُوا اللَّـهَ وَأَطِيعُوا الرَّسُولَ وَلَا تُبْطِلُوا أَعْمَالَكُمْ ﴿٣٣﴾ إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا وَصَدُّوا عَن سَبِيلِ اللَّـهِ ثُمَّ مَاتُوا وَهُمْ كُفَّارٌ فَلَن يَغْفِرَ اللَّـهُ لَهُمْ ﴿٣٤﴾ فَلَا تَهِنُوا وَتَدْعُوا إِلَى السَّلْمِ وَأَنتُمُ الْأَعْلَوْنَ وَاللَّـهُ مَعَكُمْ وَلَن يَتِرَكُمْ أَعْمَالَكُمْ ﴿٣٥﴾ } [ سورة محمد ].

Na enye ma3ashara ya binadamu, Hakika ya hi Al'Quran Al3adhim Ameitumilza Allah ni rehema kwenu ili iwaongoze njiza za amani na inaharamisha umwagaji wa damu wa badhi yenu ju ya baadhi na yaharamisha kuiba mali ya baadhi yenu ju ya baadhi na yaharamisha uporaji wa mali ya badhi yenu ju ya baadhi na inaharamisha kufanya uwadui kwa familia ya baadhi yenu ju ya baadhi, Na wala hailazimishi watu ju ya kuamini basi kila moja ana uhuru wa kuitakidi baina ya binadamu na ndugu yake binadamu, Na ameharamisha Allah kutusi miungu ya baadhi yenu ju ya baadhi ili wasi mtukane Allah kwa jeuri bila kujua, Kusadikisha Kauli ya Allah Ta3ala:
{Wala msiwatukane hao wanao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, wasije na wao wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bila ya kujua. Namna hivyo tumewapambia kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao Mlezi, naye atawaambia waliyo kuwa wakiyatenda(108)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam].
{ وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ فَيَسُبُّوا اللَّـهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ ۗ كَذَٰلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَىٰ رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿١٠٨﴾ } [ سورة الأنعام ].

Basi kila moja ana itikadi yake na dini yake na kwa Allah maregeo yake na kisha ju yake hisbu yake, Basi tosha ufisadi katika ardhi na umwagaji damu! Na Anaharamisha Allah kutenda dhambi ju hali ya baadhi yenu ju ya baadhi, Na Anaharamisha Kuoneana uwaduwi kwa baadhi yenu ju ya baadhi, Na Yuwa Amuru waislamu wawatende wema makafiri na waamiliane na wao muamala wa dini ya kislamu kwa kuhishimu na kutowafanyia chuki na uwaduwi kutokana mwislamu kwa kafiri, Na hivo hivo Anaharamisha uwaduwi na kuchukia kutoka kwa kafiri kufanyia mwislamu, Bali Ameamuru waislamu wawafanyie wema makafiri na mushrikina na wasio amini Mungu wale ambao hawapigi vita kwa dini yenu basi waishi pamoja na nyinyi kwa amani; Akawamuru Allah kwamba muwafanyie wema na usawa ju yao kwa uwadilifu na kufanya mahusiano ya kibiashara na urafiki na kuonesha upendo kwao na undugu kwa mlango wa ubinadamu kwakua nyinyi ni watoto wa mwanamume na mwanamke ndgu kwa damu kutoka kwa Hawa na Adam, Basi Mutii Amri ya Allah katika ilio wazi maana yake kitabu chake Al'Quran Al3adhim Katika Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Asaa Mwenyezi Mungu akatia mapenzi baina yenu na hao maadui zenu, na Mwenyezi Mungu ni Mweza, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu (7) Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu (8)} Sadaqa Allah Al3adhim [Almumtahana].
{ عَسَى اللَّـهُ أَن يَجْعَلَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ الَّذِينَ عَادَيْتُم مِّنْهُم مَّوَدَّةً ۚ وَاللَّـهُ قَدِيرٌ ۚ وَاللَّـهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ ﴿٧﴾ لَّا يَنْهَاكُمُ اللَّـهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ أَن تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ ﴿٨﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الممتحنة ].

Na huwenda kutaka wale ambao wajiropokea kwa yale hawayajuwi kusema: Ewe Nasser Muhammad Al'Yamani, Hivi hajasema Allah Ta3ala:
{Huwakuti watu wanao muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho kuwa wanawapenda wanao mpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hata wakiwa ni baba zao, au watoto wao, au ndugu zao, au jamaa zao. Hao ameandika katika nyoyo zao Imani, na amewapa nguvu kwa Roho itokayo kwake. Na atawaingiza katika Mabustani yapitayo mito kati yake. Humo watakaa daima. Mwenyezi Mungu awe radhi nao, na wao wawe radhi naye. Hao ndio Hizbullahi, Kundi la Mwenyezi Mungu. Hakika Kundi la Mwenyezi Mungu ndilo lenye kufanikiwa (22)} Sadaqa Allah Al3adhim [Almujadala]?
{ لَّا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ يُوَادُّونَ مَنْ حَادَّ اللَّـهَ وَرَسُولَهُ وَلَوْ كَانُوا آبَاءَهُمْ أَوْ أَبْنَاءَهُمْ أَوْ إِخْوَانَهُمْ أَوْ عَشِيرَتَهُمْ ۚ أُولَـٰئِكَ كَتَبَ فِي قُلُوبِهِمُ الْإِيمَانَ وَأَيَّدَهُم بِرُوحٍ مِّنْهُ ۖ وَيُدْخِلُهُمْ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا ۚ رَضِيَ اللَّـهُ عَنْهُمْ وَرَضُوا عَنْهُ ۚ أُولَـٰئِكَ حِزْبُ اللَّـهِ ۚ أَلَا إِنَّ حِزْبَ اللَّـهِ هُمُ الْمُفْلِحُونَ ﴿٢٢﴾ } صدق الله العظيم [ سورة المجادلة ]؟

kisha anarudisha ju ya waulizaji Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani na nasema: "Hakika ya Al'Quran ni Quraani ya kiarabu ilio wazi, Na Anakusudia Allah kwenye kauli yake wanao mpinga Allah na Mtume wake; Yani wanampiga vita Allah na Mtume wake, Hawo Allah Ametukataza kufana na wao urafiki na kufanya urafiki kwa wale wanao wasaidia kuwafanyia uwaduwi ju ya waislamu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Mwenyezi Mungu hakukatazini kuwafanyia wema na uadilifu wale ambao hawakukupigeni vita, wala hawakukutoeni makwenu. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao uadilifu (8) Hakika Mwenyezi Mungu anakukatazeni kufanya urafiki na wale walio kupigeni vita, na wakakutoeni makwenu, na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu. Na wanao wafanya hao marafiki basi hao ndio madhaalimu (9)} Sadaqa Allah Al3adhim [Almuntahana].
{ لَّا يَنْهَاكُمُ اللَّـهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ أَن تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ ﴿٨﴾ إِنَّمَا يَنْهَاكُمُ اللَّـهُ عَنِ الَّذِينَ قَاتَلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَأَخْرَجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ وَظَاهَرُوا عَلَىٰ إِخْرَاجِكُمْ أَن تَوَلَّوْهُمْ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُمْ فَأُولَـٰئِكَ هُمُ الظَّالِمُونَ ﴿٩﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الممتحنة ]."

Basi mcheni Allah na mumwitikie mlinganizi khalifa wake Nasser Muhammad ili kutimiza njia za amani ulimwenguni baina ya mtu na nduguyake binadamu na kutimiza kuishi kwa amani baina ya mwislamu na kafiri na kutimiza usalama na amani na uwadilifu na kuto angamiza wanyama na mimea na kizazi na kuangamiza ugaidi wa kafiri ju ya mwislamu kwa hoja ya uwislamu wake na kuangamiza ugaidi wa mwislamu ju ya kafiri kwa hoja ya ukafiri wake ndio mutapambauka kwa neema ya Allah ma ndugu.

Na huwenda kutaka kusema watu wote katika mataifa yote ya kislamu kwa ulimi moja; Ewe Nasser Muhammad Al'Yamani, Hakika umetufurahisha kwa inwani ya bayana kwamba utatufahamisha lini itakua usiku wa qadara (leilatul Qadri) Katika mwezi wa ramadhani ya mwaka wetu hu 1442, Basi tueleze lini siku ya leilatul qadri katika mwezi wa ramadhani inao kuja ikiwa wewe ni katika wa kweli kwamba jua limefikia mwezi ikazaliwa mwandamo kabla siku yake ikakutana nae jua nae ni mwandamo, Basi tujulishe vipi tutajua kwa yakini kua leilatul qadri ni bora kuliko miyezi alfu? ..
kisha anarudisha jibu kwenu Alimam Almahdi Nasser Muhammad na nasema: " Hakika nayo iko katika mwaka wenu hu 1427", Na huwenda kutaka watu wa mataifa yote ya kislamu kusema: "Hivi wtucheze shere Ewe Nasser Muhammad? Basi uko wapi wewe umelala? Hakika imekwisha kumalizika katika mwezi wa ramadhani ya mwaka 1427 mpaka mwezi wa ramadhani wa mwaka 1442 miyaka kumi na tano", Kisha anarudisha jibu ju yenu Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani: "Allahuma Naam, Na najua hilo kwa ilimu ya yakini, Na mimi siwachezei shere na najilinda kwa Allah nisiwe katika majahili, Bali mwaka wa mwezi ni miyaka thalathin katika ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim, Na Nusu ya mwaka wa mwezi ni miyaka kumi na tano, Kwahivo mimi namshuhudisha Allah na tosha Allah kua shahidi kwamba usiku wa nusu wa mwezi wa ramadhani ya mwaka wenu hu bila shaka itakua baada kuzama jua la jumapili usiku wa jumatatu usiku wa kutokezea mwezi kua kamili albadr ya mwezi wa ramadhani ya mwaka wenu hu 1442; Na hivo kwenu kwakua jua litaenda kufikilia mwezi ndio itazaliwa mwandamo wa ramadhani jumapili basi uzame kabla kuzama jua la jumapili nae tayari ushandama nae iko kwenye hali ya kufikiliwa ndio ikutane nae jua nae ni mwandamo alfajiri ya jumatatu tarehe 1/ Ramadhani / 1442/ Kulingana na mwanzo wa kufikiliwa ambao hapana wala hakuna atakae kuona katika binadamu wote kwakua jua litafikia mwandamo wa mwezi wa ramadhani, Basi vipi mutaona mwandamo umezama kabla halijazama jua? Na hakika sisi ni wakweli, Na hivo kwakua mimi najua kwa yakini kwamba jua limefikilia mwezi ikazaliwa mwandamo kabla ya kusuf ikakutana nae jua nae ni mwandamo, Lakini wanao zuwia kukanusha kuhusu ishara ya kufikiliwa ya kiulimwengu ambao imezidiana na fiziki ya kiulimwengu wanawazuwia kusadiki baada ilipo bainika kwenu kwamba ni haki ndio muanze kujadiliana na wanasayasi wa falaki ndio muwambie wao: Vipi mwezi utakua kamili badrr kabla ya usiku wa nusu ya mwezi? Na hi yamanisha imetupita ju yetu katika kufunga mwezi wa ramadhani! Basi hakuna kitu kutoka wana sayansi ispokua kuwachezea akili zenu ndio wawakinaishe kwa porojo kutoka kwanafsi zao kwamba hio ni kwa sababu Kwa nafasi ya kijiometri ya Dunia! Eeee Wallahi ambae hapana Mola Ispokua Yeye kwamba wao wawambieni nyinyi hayo ni kutoka kwa nafsi zao ili hali wao wajua kwamba ni warongo pamoja ya kua wao ni wana sayansi wa kifiziki lakini wao hawataki kutanazili kwa ilioko mbele yao ya kisayansi ya kifalaki ya kiyakini kifiziki ya haki kutoka alipi umba Allah Mbingu na Ardhi; Kwamba haitakiwi kwa mwandamo wa mwezi mpya kuzaliwa kabla ya kushikana kituoni kwa jua na mwezi, Basi hio kaida ya kiviziki ya kidunia ni moja kwa pamoja hawatafautiani ju yake wawili katika binadamu katika wanasayansi wa falaki ya kifiziki sawa ni waislamu ama mushrikina ama wasio amini Mungu, Kwakua wakati wa kushikana kituoni kwa jua na mwezi inafanyika katika wakati wa kilimwengu unao hisabiwa kwa saa na dakika na nukta; Basi inakua usiku wa mwezi kupotea yalekea ardhi, Basi hayo ndio walio yakuta wanasayansi wa falaki wa kifiziki katika waki ya uhakika hapana shaka wala utetanishi kwa ma hisabu ya kifiziki sahihi kabisa 1+1=2, Basi hio ndio kaida ya kifiziki ya kidunia hawatafautiani nayo wawili katika wanasayansi wa kifalaki katika binadamu mwislamu wao ama kafiri, Kwakua hayo ndio walio yakuta katika waki ya uhakika na kwamba Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani ju ya hio kaida ya kifalaki ya kifiziki ni katika mashahidi, Na Allah anaita hio kaida ya kifalaki alarjun alqadim karara kongwe katika ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ Na mwezi tumeupimia vituo, mpaka unakuwa kama karara kongwe (39) Haliwi jua kuufikia mwezi, wala usiku kuupita mchana. Na vyote vinaogelea katika njia zao (40)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yasin].
{وَالْقَمَرَ قَدَّرْنَاهُ مَنَازِلَ حَتَّىٰ عَادَ كَالْعُرْجُونِ الْقَدِيمِ ﴿٣٩﴾ لَا الشَّمْسُ يَنبَغِي لَهَا أَن تُدْرِكَ الْقَمَرَ وَلَا اللَّيْلُ سَابِقُ النَّهَارِ ۚ وَكُلٌّ فِي فَلَكٍ يَسْبَحُونَ ﴿٤٠﴾ } صدق الله العظيم [ سورة يس ].

Eee hakika ya alarjun alqadim karara kongwe ni uso wa mwezi kabla nymba za miandamo ya mwangaza wa mwandamo wa mwezi; Kwakua usiku wa mwezi umelekea ardhi, Na inaendelea hali hio mpaka iwachane kibao cha mwezi kutokana na jua mashariki kisha inaanza mwandamo kua ndio inakua mwandamo baada kumalizika masa kuminabili katika Al'Quran Al3adhim basi inakuo mwandamo wa nymba usiku wa mwezi kwanza baada kumalizika mwezi wa shaabani, Basi kila pahali kulingana na upeo wa kuzama kwake kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur'ani kuwa ni uwongofu kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi ataye kuwa mjini katika mwezi huu naafunge. Na mwenye kuwa mgonjwa au safarini, basi atimize hisabu katika siku nyengine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amekuongoeni ili mpate kushukuru (185)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].
{ شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ ۖ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ ۗ يُرِيدُ اللَّـهُ بِكُمُ الْيُسْرَ وَلَا يُرِيدُ بِكُمُ الْعُسْرَ وَلِتُكْمِلُوا الْعِدَّةَ وَلِتُكَبِّرُوا اللَّـهَ عَلَىٰ مَا هَدَاكُمْ وَلَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ ﴿١٨٥﴾ } صدق الله العظيم [ سورة البقرة ].

Basi hakika mimi sio katika majahil enyi ma3ashara ya wana sayansi wa falaki ya kifiziki! Hakika mimi nasadiki ilimu yenu kwa sharti kua isikhalifu fiziki ya Al'Quran katika ilimu ya falaki, Lakini enyi ma3ashara ya wana sayansi wa falaki ya kifiziki ( Wala sikusudi wanao piiga ramli watu wa kutafuta bahati na kutabiri fali mbaya walio potea, Bali nakusudia wanasayansi wa falaki ya kifiziki) Basi hamuwakuti wanazungumza kuusu bahati na porojo na uzushi ( hasha ju yao ) Bali mutawakuta wanawambia kuhusu kusuf ya jua na khusuf ya mwezi na mizunguko ya ma sayari kulingana na ma hisabu ya kifiziki; Basi hawana kwao kupiga ramli, Na wenye kutafuta bahati za minara upuzi na porojo na uzushi Hajateremsha Allah utawala ndani yake, Na miongoni mwao ni ma wali wa mashetani na wakadhubuni wanao piga ramli ma wali wa ma shetani, Bali nakusudia wanasayansi wa kifalaki kifiziki, Basi ile ambao nataka kuwambia wao wote kwamba kaida ya karara kongwe ya mwezi na jua nayo ni ile munao ita mkutano kituoni kwa mwezi na jua ni kaida ya falaki kifiziki kutoka alipo umba Allah mbingu na ardhi, Ispokua sio ya kuendela mpaka haina mwisho kwakua maisha ya dunia yanao mwisho inaanza kwa tokeo la ma sharti ya saa kuu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
Bismillah Arrahman Arrahim { Naapa kwa jua na mwangaza wake (1) Na kwa mwezi unapo lifuatia (2) Na kwa mchana unapo lidhihirisha (3) Na kwa usiku unapo lifunika (4)} Sadaqa Allah Al3adhim [Ashams].
بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ { وَالشَّمْسِ وَضُحَاهَا ﴿١﴾ وَالْقَمَرِ إِذَا تَلَاهَا ﴿٢﴾ وَالنَّهَارِ إِذَا جَلَّاهَا ﴿٣﴾ وَاللَّيْلِ إِذَا يَغْشَاهَا ﴿٤﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الشمس ].

Na kati yake ni jua kufikia mwezi ndio ifwate kwa sababu ya tokeo ya kupotea kabla wakati wake ndio izaliwe mwandamo kabla ya kushikana ndio ikutane nae jua nae ni mwandamo, Basi hi ndio itakavo kufanyika katika tarehe ya jumapili 29 shaban ya mwaka wenu hu 1442, Basi katika siku ya jumapili inafanyika tokeo la kupotea ya mwisho wa shabani na inaanza kua mwandamo wa mwezi wa ramadhani kabla ya kushikana ndio izame kabla halijazama jua la jumapili usiku wa jumatatu nae tayari ni mwandamo; Yani mwanzo wa mwezi wa ramadhani kulingana na kufikiliwa ni jioni ya jumapili usiku wa jumatatu, Na hakuna atakae kuona mwandamo wa ramadhani mwanzo wake kwakua jua limefikia mwezi ishara imekariri katika ma sharti ya saa kuu, Na kwavile jua limefikilia mwezi katika mwisho ya mashariki basi hi yamanisha ni kufikia pakubwa aina ya x x, Na ama badr mwezi kukamilika kamili wa leilatul qadri (Bora kuliko Miyezi alfu) ya mwezi wa ramadhani inao kuja ya mwaka wenu hu 1442 basi nayo ni jioni ya siku ya jumapili usiku wa jumatatu; Yani baada kuzama jua la jumapili usiku wa jumatatu.

Na huwenda kutaka wanasayansi wa falaki katika watu mwislamu wao na kafiri waseme: "Ewe Nasser Muhammad Al'Yamani hi ndio haiwezekani, Kwakua usiku wa albadri mwezi kukamilika kamili nayo ndio hio hio mwanzo wa mwezi wa kimwezi nayo siku hio hio itakuja usiku wa nusu katika mwezi wa kimwezi, Basi yaonesha wewe hujuwi hisabu za kifalaki ya kifiziki! Hivi hujuwi ewe Nasser Muhammad kua kupotea kwa mwezi wa shabani itakua kwenye saa kuminamoja na dakika thalathini na moja alfajiri ya jumatatu? Basi hivo haitowezekana kua usiku wa nusu wa mwezi wa ramadhani ya mwaka wetu hu 1442 baada kuzama jua la jumapili usiku wa jumatatu? Basi hi ni ilimu ya kifiziki ya falaki saahihi kabisa sawa sawa hawatafautiani ju yake wote wanasayansi wa kifiziki ya falaki hata kwa nukta moja! Nayo ni tokeo la kiulimwengu inaitwa kushikana kituoni kwa jua na mwezi uliopotea, Na haiwi kupotea kwa mwezi wa shaabani ispokua alfajiri ya siku ya jumatatu sa kuminamoja na dakika thalathini na moja alfajiri ya jumatatu kwa wakati wa maka almukarama, Na wala hawatafautiani wawili katika binadamu tokeo la kidunia; Yani kwa sa ya kiulimwengu ni 2-31."

Kisha Anarudisha jibu Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani ju ya waulizaji wote na nasema: " Na mimi ju ya hayo ni katika mashahidi kwamba mwandamo wa mwezi mpya hapana wala haitakiwi kwake kuzaliwa kabla ya kushikana kituoni; Kwakua kushikana kwa jua na mwezi na uso wake uko giza kabisa kutokana na mwangaza; Basi haitakiwi kwa jua ufikie mwezi kutoka alipo umba Allah mbingu na ardhi, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{Na mwezi tumeupimia vituo, mpaka unakuwa kama karara kongwe (39) Haliwi jua kuufikia mwezi, wala usiku kuupita mchana. Na vyote vinaogelea katika njia zao (40)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yasin].
{ وَالْقَمَرَ قَدَّرْنَاهُ مَنَازِلَ حَتَّىٰ عَادَ كَالْعُرْجُونِ الْقَدِيمِ ﴿٣٩﴾ لَا الشَّمْسُ يَنبَغِي لَهَا أَن تُدْرِكَ الْقَمَرَ وَلَا اللَّيْلُ سَابِقُ النَّهَارِ ۚ وَكُلٌّ فِي فَلَكٍ يَسْبَحُونَ ﴿٤٠﴾ } [ سورة يس ].

Lakini hi miujiza ya kidunia imevuka fiziki ya ki falaki ameifanya Allah ni ishara ya kiulimwengu ili kusadikisha Khalifa wa Allah ju ya ulimwengu Al'Imam Al'Majdi Nasser Muhammad Al'Yamani; Yake pekeyake hakuna ajuwae ispokya khalifa wa Allah na mja wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani kwa ilimu ya yakini, Na utapambazuka mwezi albadr mwezi kua kamili usiku wa nusu katika mwezi wa ramadhani baada kuzama jua la jumapili usiku wa jumatatu; Na hivo kwakua jua litafikia mwezi ndio izaliwe mwandamo siku ya jumapi na utazama kabla kuzama jua siku ya juma pili usiku wa jumatatu kwa wakati wa maka almukarama nae tayari ni mwandamo wa mwanzo wa mwezi wa (Ramadhani) wala sio hilali ya mwisho wa mwezi wa (shabani), Basi mimi sio katika majahili na najua kwamba hakuna atakae kuona mwandamo wa mwanzo wa mwezi wa ramadhani baada kuzama jua la jumapili usiku wa juma tatu usiku wa mwanzo wa ramadhani yoyote katika ulimwengu; Kwakua mwandamo wa ramadhani utazama kabla halijazama jua la siku ya jumapili usiku wa jumatatu nae iko katika hali ya kufikiwa ndio ikutane nae jua nae ni mwadamo kwenye wakati wa swala ya alfajiri katika wakati wa mwanzo wa kivuli wakati wa maka almukarama, Na ama kupambazuka kwa mwezi albadri kua kamili wa mwezi wa ramadhani ya mwaka wenu hu 1442 basi ni baada kuzama jua la jumapili usiku wa jumatatu utapambazuka mwezi umekamilika kamili badri kwa wanao uwangalia katika mashariki yote ya ulimwengu baada kuzama jua la jumapili usiku wa jumatatu; Usiku wa nusu katika mwezi wa ramadhani ya mwaka wenu hu 1442 ni bora kuliko miyezi alfu ya ki jua, Eee hakika ya urefu wa mwezi wa ki jua Miyezi alfu na inawafikiana na miyaka thamanini na tatu na miyezi mi inne kwa vile munavo hisabu, Basi miyaka thamanini na tatu inamalizika kumalizka mwezi wa ramdhani, Na ama miyezi mi inne basi nazo hizo ndizo miyezi alharam basi zinamalizika kwa kumalizika mwezi wa muharam wa inne katika miyezi ya alhurum nao ndio hio hio mwezi wa kumi na mbili katika mwaka wa kimwezi, Na je nyinyi mutaamini kabla haijaja waadi wa ukombozi alfat7h kwa sayari ya adhabu saqar? Ama jambo kutoka kwa Allah moja kwa moja mupambauke muko katika majuto.

Na enyi Watu wa Yemen, Basi ikiwa Allah hajawavamia bado kwa jeshi la Allah wadogo ambao wakali zaidi basi mujuwe kwa yakini kwamba aya ya mfuriko wa sheba -Mto mkali- Ju ya Yemen (Kote) Aya haiepukiki kujua kwake.

Na enye ma3ashara ya walimwengu, Nawabashiria kwa ma aya za adhabu zinazo fwatana angani na bara na baharini kwa ulimwengu kuongeza ju ya ile atakao kuwajazia Allah munao ita corona, Wala sio corona! Basi bashirieni kwa ma jeshi mapya na wakali zaidi kuliko munao ita virusi corona yale hamutohisabu! Basi kama unavo sema mfano wa kiarabu: (Basi hamujaona bado ispokua unyele tu katika sikio la ngamia), Bali hila pana inakuja kutoka kwa Mola Mlezi wa ulimwengu karibuni sana sio ya kuchelewa na itafelisha chanjo zenu zote basi hazitowasaidia kwenu kutokana na hila ya Allah kitu ispokua kama inavo mtosheleza mwenye kiu kwenye jangwa anaona mwenye kiu kua ni maji mpaka atakapo kufika hapati kitu.

Na enye watu wa Yemen, Basi ikiwa Allah hajawasibu na jeshi la corona basi hato wapapasa vichwa venuy na ilhali nyinyi mwakanusha na Al'Imam Al'Mahdi yuko beinayenu! Na kwa hayo mimi Al'Imam Al'Mahdi nawahakikishia nyinyi kuwajia aya ya mfuriko wa mto mkali na mto wa irma kwa Yemen yote, Na musikurubie ile itakao kuotekezea kutokana na mifuriko
Basi hio ni miliki ya Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Khalifa wa Allah ju ya Yemen na ulimwengu wote, Na kila moja kati yenu sehemu atapata katika yake na mataifa yalio anguka kiuchumi katika taifa za ulimwenguni watapata nasibu yao kwakua Yemen ni mji mkuu wa khilafa ya kislamu ya kiulimwengu, Na wala hakuficha Allah ufalme wa ma umma wa mwanzo wa ki Yemeni bure; Bali kwajili ya Khalifa wa Allah ju ya ulimwengu kwa kadara ilio kadiriwa katika kitabu kilieo andikwa ili kujenga Yemen mji mkuu wa khilafa ya kislamu ya ki ulimwengu, Basi baada kunyenyekea shingo za ma hizbu katika Yemen kwa Khalifa wa Allah Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Basi kwa kila tokeo na mazungumzo yake.

Na ewe Ali Abdallah Saleh, Hakika itakutoa mifuriko kutoka kwa mafichoni mwako popote ulipo! Basi hakika mimi najua kwamba mimi sijamzulia Allah kua wewe ni aya ya kusadikisha kwa walimwengu utake usitake! Na hakika mutajua mimi ni katika wakweli kwa kila kitu kwa uwezo wa Allah! Wala si hadid wakati wa adhabu ispokua nwahakikishia kuja kwake, Na hukmu ni ya Allah Mbora wa ukombozi, Na Salam Ju Ya Mitume Na Alhamdulillah Rabil3alamin..

Khalifa Wa Allah Ju Ya Ulimwengu Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
خليفة الله على العالمين الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
____________

======== اقتباس =========

اقتباس المشاركة 344417 من موضوع إعلان موعد ليلة القدر خيرٌ من ألف شهر لمن شاء منكم أن يتقدّم أو يتأخّر ..

الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ
18 - رجب - 1442 هـ
02 - 03 - 2021 مـ
04:12 مساءً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان ]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=41928
_____________



إعلان موعد ليلة القدر خيرٌ من ألف شهر لمن شاء منكم أن يتقدّم أو يتأخّر ..

بسم الله الرحمن الرحيم
{ حم ﴿١﴾ وَالْكِتَابِ الْمُبِينِ ﴿٢﴾ إِنَّا أَنزَلْنَاهُ فِي لَيْلَةٍ مُّبَارَكَةٍ ۚ إِنَّا كُنَّا مُنذِرِينَ ﴿٣﴾ فِيهَا يُفْرَقُ كُلُّ أَمْرٍ حَكِيمٍ ﴿٤﴾ أَمْرًا مِّنْ عِندِنَا ۚ إِنَّا كُنَّا مُرْسِلِينَ ﴿٥﴾ رَحْمَةً مِّن رَّبِّكَ ۚ إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ﴿٦﴾ رَبِّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا ۖ إِن كُنتُم مُّوقِنِينَ ﴿٧﴾ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ يُحْيِي وَيُمِيتُ ۖ رَبُّكُمْ وَرَبُّ آبَائِكُمُ الْأَوَّلِينَ ﴿٨﴾ بَلْ هُمْ فِي شَكٍّ يَلْعَبُونَ ﴿٩﴾ فَارْتَقِبْ يَوْمَ تَأْتِي السَّمَاءُ بِدُخَانٍ مُّبِينٍ ﴿١٠﴾ يَغْشَى النَّاسَ ۖ هَـٰذَا عَذَابٌ أَلِيمٌ ﴿١١﴾ رَّبَّنَا اكْشِفْ عَنَّا الْعَذَابَ إِنَّا مُؤْمِنُونَ ﴿١٢﴾ أَنَّىٰ لَهُمُ الذِّكْرَىٰ وَقَدْ جَاءَهُمْ رَسُولٌ مُّبِينٌ ﴿١٣﴾ ثُمَّ تَوَلَّوْا عَنْهُ وَقَالُوا مُعَلَّمٌ مَّجْنُونٌ ﴿١٤﴾ إِنَّا كَاشِفُو الْعَذَابِ قَلِيلًا ۚ إِنَّكُمْ عَائِدُونَ ﴿١٥﴾ يَوْمَ نَبْطِشُ الْبَطْشَةَ الْكُبْرَىٰ إِنَّا مُنتَقِمُونَ ﴿١٦﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الدخان ].

من خليفة الله على العالمين الإمام المهدي ناصر محمد اليماني إلى كافة البشر في البوادي والحضر في مشارقِ الأرض ومغاربها، كونوا شهداء على أنفسكم (جميع البشر المسلم منهم والكافر) وكفى بالله شهيدًا بيني وبينكم أنِّي أعلنتُ لكم أنَّ الشمس أدركت القمر فوُلد الهلال من قبل الاقتران المركزي للشمس والقمر واجتمعت به الشمس وقد هو هلالًا؛ نذيرًا للبشر وما تُغني النّذر عن البشر الذين لا يعقلون كالبقر مهما أدركت الشمس القمر ليلتان أو ثلاثًا، فسوف يكذّبون آية التصديق الكونيّة لخليفة الله المهديّ ناصر محمد اليماني وتصديق شرط من أشراط الساعة الكبر وكأنّهم لا يبصرون القمر أشرقَ بدرًا قبل ليلة النصف من الشهر، بل هم كالأنعام بل هم أضلّ سبيلًا من الأنعام الذين يكذّبون سمعهم وأبصارهم وعقولهم ثم يتّبعون كل متكبّر عنيد يصدّ عن حقائق آيات القرآن المجيد من علماء الفلك المستكبرين الذين أخذتهم العزة بالإثم من بعد ما تبيّن لهم أنّها الحقّ من ربّهم أو أنّهم أطاعوا قاداتهم لإخفاء آية التصديق لخليفة الله المهديّ ناصر محمد اليماني، برغم أنّ قادات المسلمين والعالمين لو صدّقوا خليفة الله المهدي ناصر محمد لغفر الله لهم إسرافهم في أمرهم ولَما زادهم الله إلّا عزًّا إلى عزّهم، فكيف يُنكرون آية القمر البدر قبل موعده بسبب أنّ الشمس أدركت القمر؟ ويستخفّون بعقول الضالّين من المسلمين الذين يُصدِّقون المستكبرين الصادّين ويكذّبون عقولهم وأبصارهم أولئك لا يعقلون ولا يبصرون، أم يريدون أن يترقّبوا حتى يسبق اللّيل النهار أو أمرًا من عند الله مباشرةً بكُن فيكون ثم لا يُنصَرون؟ وقال الله تعالى:
{ فَلَوْلَا كَانَتْ قَرْيَةٌ آمَنَتْ فَنَفَعَهَا إِيمَانُهَا إِلَّا قَوْمَ يُونُسَ لَمَّا آمَنُوا كَشَفْنَا عَنْهُمْ عَذَابَ الْخِزْيِ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَمَتَّعْنَاهُمْ إِلَىٰ حِينٍ ﴿٩٨﴾ وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ لَآمَنَ مَن فِي الْأَرْضِ كُلُّهُمْ جَمِيعًا ۚ أَفَأَنتَ تُكْرِهُ النَّاسَ حَتَّىٰ يَكُونُوا مُؤْمِنِينَ ﴿٩٩﴾ وَمَا كَانَ لِنَفْسٍ أَن تُؤْمِنَ إِلَّا بِإِذْنِ اللَّـهِ ۚ وَيَجْعَلُ الرِّجْسَ عَلَى الَّذِينَ لَا يَعْقِلُونَ ﴿١٠٠﴾ قُلِ انظُرُوا مَاذَا فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ ۚ وَمَا تُغْنِي الْآيَاتُ وَالنُّذُرُ عَن قَوْمٍ لَّا يُؤْمِنُونَ ﴿١٠١﴾ فَهَلْ يَنتَظِرُونَ إِلَّا مِثْلَ أَيَّامِ الَّذِينَ خَلَوْا مِن قَبْلِهِمْ ۚ قُلْ فَانتَظِرُوا إِنِّي مَعَكُم مِّنَ الْمُنتَظِرِينَ ﴿١٠٢﴾ ثُمَّ نُنَجِّي رُسُلَنَا وَالَّذِينَ آمَنُوا ۚ كَذَٰلِكَ حَقًّا عَلَيْنَا نُنجِ الْمُؤْمِنِينَ ﴿١٠٣﴾ قُلْ يَا أَيُّهَا النَّاسُ إِن كُنتُمْ فِي شَكٍّ مِّن دِينِي فَلَا أَعْبُدُ الَّذِينَ تَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ وَلَـٰكِنْ أَعْبُدُ اللَّـهَ الَّذِي يَتَوَفَّاكُمْ ۖ وَأُمِرْتُ أَنْ أَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ ﴿١٠٤﴾ وَأَنْ أَقِمْ وَجْهَكَ لِلدِّينِ حَنِيفًا وَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُشْرِكِينَ ﴿١٠٥﴾ وَلَا تَدْعُ مِن دُونِ اللَّـهِ مَا لَا يَنفَعُكَ وَلَا يَضُرُّكَ ۖ فَإِن فَعَلْتَ فَإِنَّكَ إِذًا مِّنَ الظَّالِمِينَ ﴿١٠٦﴾ } صدق الله العظيم [ سورة يونس ].

وأعوذ بالله أن أكون من الظالمين، بل الله أعبد مخلصًا له ديني وأُمرت أن أكون من المسلمين التابعين لمحمد رسول الله صلى الله عليه وآله وسلم أدعو إلى الله على بصيرة محمد رسول الله صلى الله عليه وآله وسلم، ولم يبعثني الله مبتدِعًا بل متّبعًا خاتم الأنبياء والمرسَلين محمد رسول الله صلى الله عليه وآله وسلم، وإنّما اتّباعه هو أن أُحاجّ النّاس بالبصيرة التي تنزّلت عليه من ربّه القرآن العظيم، تصديقا لقول الله تعالى:
{ وَكَأَيِّن مِّنْ آيَةٍ فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ يَمُرُّونَ عَلَيْهَا وَهُمْ عَنْهَا مُعْرِضُونَ ﴿١٠٥﴾ وَمَا يُؤْمِنُ أَكْثَرُهُم بِاللَّـهِ إِلَّا وَهُم مُّشْرِكُونَ ﴿١٠٦﴾ أَفَأَمِنُوا أَن تَأْتِيَهُمْ غَاشِيَةٌ مِّنْ عَذَابِ اللَّـهِ أَوْ تَأْتِيَهُمُ السَّاعَةُ بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ ﴿١٠٧﴾ قُلْ هَـٰذِهِ سَبِيلِي أَدْعُو إِلَى اللَّـهِ ۚ عَلَىٰ بَصِيرَةٍ أَنَا وَمَنِ اتَّبَعَنِي ۖ وَسُبْحَانَ اللَّـهِ وَمَا أَنَا مِنَ الْمُشْرِكِينَ ﴿١٠٨﴾ } [ سورة يوسف ].

وقد جعل الله في اسمي خبري (
ناصر محمد )، فما ينبغي للإمام المهديّ ناصر محمد أن يبعثه الله ناصرًا لأحدٍ من أحزاب الشِّقاق والنّفاق حتّى يوم التّلاق، فاسمعوا وعوا واعقلوا! لقد ابتعثني الله العزيز الحميد بالبيان الحقّ للقرآن المجيد فجعله في يميني كالسيف المسلول من حديد حتى أبتر به لسان كلّ جبّارٍ عنيد، وليس بسفك الدّم بل بسلطان العلم فأجعلكم بين خيارين اثنين، إمّا الإيمان بالقرآن العظيم وإمّا الكفر بذِكر الله القرآن العظيم؛ ومن كفر فمصيره إلى الجحيم ومن اتّبع داعي الله خليفته المهديّ ناصر محمد إلى اتّباع القرآن العظيم فقد هُدي إلى صراط مستقيم، وما دعوت البشر إلى سفك دماء بعضهم بعضًا! فمن شاء فليؤمن ومن شاء فليكفر، وما أرسل الله القرآن العظيم إلّا رحمةً للعالمين ليهديَهم إلى سُبل السلام فيما بينهم، تصديقًا لقول الله تعالى: { يَا أَهْلَ الْكِتَابِ قَدْ جَاءَكُمْ رَسُولُنَا يُبَيِّنُ لَكُمْ كَثِيرًا مِّمَّا كُنتُمْ تُخْفُونَ مِنَ الْكِتَابِ وَيَعْفُو عَن كَثِيرٍ ۚ قَدْ جَاءَكُم مِّنَ اللَّـهِ نُورٌ وَكِتَابٌ مُّبِينٌ ﴿١٥﴾ يَهْدِي بِهِ اللَّـهُ مَنِ اتَّبَعَ رِضْوَانَهُ سُبُلَ السَّلَامِ وَيُخْرِجُهُم مِّنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ بِإِذْنِهِ وَيَهْدِيهِمْ إِلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ ﴿١٦﴾ لَّقَدْ كَفَرَ الَّذِينَ قَالُوا إِنَّ اللَّـهَ هُوَ الْمَسِيحُ ابْنُ مَرْيَمَ ۚ قُلْ فَمَن يَمْلِكُ مِنَ اللَّـهِ شَيْئًا إِنْ أَرَادَ أَن يُهْلِكَ الْمَسِيحَ ابْنَ مَرْيَمَ وَأُمَّهُ وَمَن فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا ۗ وَلِلَّـهِ مُلْكُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا ۚ يَخْلُقُ مَا يَشَاءُ ۚ وَاللَّـهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ ﴿١٧﴾ } [ سورة المائدة ].

ويا معشر المسلمين واليهودَ والنّصارى والضّالين من الناس أجمعين، فلستُم على شيء حتى تتّبعوا مُحكم ما أنزل إليكم من ربّكم في القرآن العظيم يمنع ظلم الإنسان عن أخيه الإنسان؛ فيمنع سفك الدّم بين البشر ويحرّم قتل الكافر بالله بحجّة كفره ويحرّم قتل المسلم بحجة إسلامه، فكلٌّ حسابه عند ربّه، فمن شاءَ فليُؤمن ومن شاءَ فليَكفُر، تصديقًا لقول الله تعالى:
{ وَقُلِ الْحَقُّ مِن رَّبِّكُمْ ۖ فَمَن شَاءَ فَلْيُؤْمِن وَمَن شَاءَ فَلْيَكْفُرْ ۚ إِنَّا أَعْتَدْنَا لِلظَّالِمِينَ نَارًا أَحَاطَ بِهِمْ سُرَادِقُهَا ۚ وَإِن يَسْتَغِيثُوا يُغَاثُوا بِمَاءٍ كَالْمُهْلِ يَشْوِي الْوُجُوهَ ۚ بِئْسَ الشَّرَابُ وَسَاءَتْ مُرْتَفَقًا ﴿٢٩﴾ إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ إِنَّا لَا نُضِيعُ أَجْرَ مَنْ أَحْسَنَ عَمَلًا ﴿٣٠﴾ أُولَـٰئِكَ لَهُمْ جَنَّاتُ عَدْنٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهِمُ الْأَنْهَارُ يُحَلَّوْنَ فِيهَا مِنْ أَسَاوِرَ مِن ذَهَبٍ وَيَلْبَسُونَ ثِيَابًا خُضْرًا مِّن سُندُسٍ وَإِسْتَبْرَقٍ مُّتَّكِئِينَ فِيهَا عَلَى الْأَرَائِكِ ۚ نِعْمَ الثَّوَابُ وَحَسُنَتْ مُرْتَفَقًا ﴿٣١﴾ } [ سورة الكهف ].

ويُحرّم القرآن العظيم الإرهاب من كافرٍ على مسلم ويحرّم الإرهاب من مسلمٍ على كافر، تصديقا لقول الله تعالى:
{ قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾ لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾ وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ ﴿٤﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٥﴾ لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ ﴿٦﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الكافرون ].

وربّما يودّ أحد السائلين أن يقول: يا ناصر محمّد، أليست سورة (الكافرون) من المفروض أن تكفي الآيات التالية فقط وهي قول الله تعالى:
{ قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾ لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾ } صدق الله العظيم؟ فلماذا تكرّرت نفس الآيات في سورة واحدة؟ فانظر للتكرار في سورة (الكافرون)، قال الله تعالى:{ قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾ لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾ وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ ﴿٤﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٥﴾ لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ ﴿٦﴾ } [ سورة الكافرون ].

فمن ثم يردّ على السائلين الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ خليفة الله على العالمين وأقول: بالنسبة لأمر الله تعالى إلى رسوله حين أرادوا أن يُساومِوه ليعبد آلهتهم تارة ويعبدون الله وحده تارة أخرى فأمره الله أن يقول:
{ قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ ﴿١﴾ لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ ﴿٢﴾ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٣﴾ } صدق الله العظيم. ويقصد كلٌّ يعبد ما يشاء فمن أراد أن يعبد الله وحده فليعبده ومن أراد أن يعبُد شيئًا غير الله بَاطلًا فليعبده وحسابه على ربّه، وأمّا ما تظنّونها آياتٍ مكرّرة في قوله: { وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ ﴿٤﴾ }؛ ويقصد: ولا يحقّ لكُم أن تُكرِهوني على أن أعبد آلهتكم.

وأمّا المقصود بقوله:
{ وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ ﴿٥﴾ } ويقصد: ولا يحقّ لِي أن أُكرِهكم على عبادةِ إلهي؛ الله وحده ربّي وربّكم؛ فلا إكراه في دين الله، وأمّا قوله: { لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ ﴿٦﴾ } صدق الله العظيم، ويقصد حرّية المعتقد في التّعبد بين الإنسان وأخيه الإنسان، لكم دينكم ولي دينِ، تصديقا لقول الله تعالى: { قُلِ اللَّـهَ أَعْبُدُ مُخْلِصًا لَّهُ دِينِي ﴿١٤﴾ فَاعْبُدُوا مَا شِئْتُم مِّن دُونِهِ ۗ قُلْ إِنَّ الْخَاسِرِينَ الَّذِينَ خَسِرُوا أَنفُسَهُمْ وَأَهْلِيهِمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ ۗ أَلَا ذَٰلِكَ هُوَ الْخُسْرَانُ الْمُبِينُ ﴿١٥﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الزمر ].

وربما يودّ أحد السائلين أن يقول: يا ناصر محمد، ألم يقل الله تعالى:
{ وَأَعِدُّوا لَهُم مَّا اسْتَطَعْتُم مِّن قُوَّةٍ وَمِن رِّبَاطِ الْخَيْلِ تُرْهِبُونَ بِهِ عَدُوَّ اللَّـهِ وَعَدُوَّكُمْ وَآخَرِينَ مِن دُونِهِمْ لَا تَعْلَمُونَهُمُ اللَّـهُ يَعْلَمُهُمْ ۚ وَمَا تُنفِقُوا مِن شَيْءٍ فِي سَبِيلِ اللَّـهِ يُوَفَّ إِلَيْكُمْ وَأَنتُمْ لَا تُظْلَمُونَ ﴿٦٠﴾ وَإِن جَنَحُوا لِلسَّلْمِ فَاجْنَحْ لَهَا وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ ۚ إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ﴿٦١﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الأنفال ].

فمن ثمّ يردّ الإمام المهديّ على السائلين وأقول: إنّما يقصد الله أن تعدّوا عدّة الاستعداد للقتال حتى يَرهَبُوا قِتالكم وإخراجكم من دياركُم فتكفّون شرّ مَن أرادَ أن يقاتلكم في دينكم حين يرونكم مستعدّين للدّفاع عن دينكم وأنفسكم وأرضكم ودياركم ثم يَرهَبُون قتالكم في دينكم وإخراجكم من دياركم والعُدوان عليكم فيرجعوا عن قتالكم؛ كونهم يرونكم مُعدّين ومستعدّين لقتال من أراد أن يعتدي عليكم، وكذلك يقصد أنّكم كذلك سوف تكفّون بالإعداد شرّ أعداء لكم آخرين لا تحيطون بهم علمًا؛ فيَرهَبُونكم فلا يعتدون عليكم بسبب إعدادكم واستعدادكم للقتال دفاعًا عن أنفسكم فيَرهَبُون الاعتداء عليكم فتكفّون شرّهم فيصرِفُون النّظر عن المكر بقتالكم فتكفّون شرّهم وعدوانهم بسبب الإعداد والاستعداد لقتال من أراد قتالكم عدوانًا وظلمًا برغم أنّ منهم من لا تحيطون بهم علمًا أنّهم أعداء لكم ولكنّكم تكفّون شرّهم بسبب الإعداد سواء الذين أظهروا العداوة لكم أو الذين يُخفون في أنفسهم العداوة لكم فيُبيّتون في السّر المكر بكم، فكذلك تكفّون شرّ أعدائكم الظاهرين والخفيّين بسبب إعداد عدّة القتال للاستعداد للدفاع عن أنفسكم، تصديقًا لقول الله تعالى:
{ وَأَعِدُّوا لَهُم مَّا اسْتَطَعْتُم مِّن قُوَّةٍ وَمِن رِّبَاطِ الْخَيْلِ تُرْهِبُونَ بِهِ عَدُوَّ اللَّـهِ وَعَدُوَّكُمْ وَآخَرِينَ مِن دُونِهِمْ لَا تَعْلَمُونَهُمُ اللَّـهُ يَعْلَمُهُمْ ۚ وَمَا تُنفِقُوا مِن شَيْءٍ فِي سَبِيلِ اللَّـهِ يُوَفَّ إِلَيْكُمْ وَأَنتُمْ لَا تُظْلَمُونَ ﴿٦٠﴾ } [ سورة الأنفال ].

ومن قتل مسلمًا بحجّة إسلامه لله ربّ العالمين فحُكم الله قتل ذلك الكافر المعتدي، ومن قتل كافرًا بحجّة كُفره بالله ربّ العالمين فحُكم الله قتل ذلك المسلم المعتدي، فلم يأمر الله أن تعتدوا على الناس بحجّة كفرهم بل فقط من أراد قتالكم عدوانًا وظلمًا، فهنا يحقّ لكم الجهاد في سبيل الله للدّفاع عن أنفسكم تصديقًا لقول الله تعالى:
{ وَقَاتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّـهِ الَّذِينَ يُقَاتِلُونَكُمْ وَلَا تَعْتَدُوا ۚ إِنَّ اللَّـهَ لَا يُحِبُّ الْمُعْتَدِينَ ﴿١٩٠﴾ } صدق الله العظيم [ سورة البقرة ].

كون الذين يكفّون أيديهم عن قتالكم فأولئك لم يجعل الله لكم عليهم سبيلًا، تصديقًا لقول الله تعالى:
{ فَإِنِ اعْتَزَلُوكُمْ فَلَمْ يُقَاتِلُوكُمْ وَأَلْقَوْا إِلَيْكُمُ السَّلَمَ فَمَا جَعَلَ اللَّـهُ لَكُمْ عَلَيْهِمْ سَبِيلًا ﴿٩٠﴾ } صدق الله العظيم [ سورة النساء ].

ولا تَدعُوا إلى السِّلمِ من يريدُ قتالكم عدوانًا وظلمًا كون دعوة المعتدي إلى السّلام سوف يعتبره استسلامًا فيزداد عتوًّا ونفيرًا، فذلك هو المراد من قول الله تعالى:
{ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا أَطِيعُوا اللَّـهَ وَأَطِيعُوا الرَّسُولَ وَلَا تُبْطِلُوا أَعْمَالَكُمْ ﴿٣٣﴾ إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا وَصَدُّوا عَن سَبِيلِ اللَّـهِ ثُمَّ مَاتُوا وَهُمْ كُفَّارٌ فَلَن يَغْفِرَ اللَّـهُ لَهُمْ ﴿٣٤﴾ فَلَا تَهِنُوا وَتَدْعُوا إِلَى السَّلْمِ وَأَنتُمُ الْأَعْلَوْنَ وَاللَّـهُ مَعَكُمْ وَلَن يَتِرَكُمْ أَعْمَالَكُمْ ﴿٣٥﴾ } [ سورة محمد ].

ويا معشر البشر، إنّ هذا القرآن العظيم أرسله الله رحمةً لكم ليهديَكم إلى سُبل السلام ويحرّم سفك دماء بعضكم بعضًا ويحرّم سرقَة أموال بعضكم بعضًا ويحرّم نهب أموال بعضكم بعضًا ويحرّم الاعتداء على أعراض بعضكم بعضًا، ولا يُكره الناس على الإيمان فلكلٍّ حريّة المعتقد بين الإنسان وأخيه الإنسان، وحرّم الله سبّ آلهةِ بعضكم بعضًا حتى لا يسُبّوا الله عَدْوًا بغير علم، تصديقًا لقول الله تعالى:
{ وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ فَيَسُبُّوا اللَّـهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ ۗ كَذَٰلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَىٰ رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿١٠٨﴾ } [ سورة الأنعام ].

فكلٌّ له معتقده ودينه وإلى الله إيابه ثم إنّ عليه حسابه، فيكفي فسادًا في الأرض وسفك الدماء! ويحرّم الله الإثم في حقّ بعضكم بعضًا، ويحرّم العدوان على بعضكم بعضًا، ويأمر المسلمين أن يبرّوا الكافرين ويعاملوهم بمعاملة دين الإسلام بكل احترام بعدم البغضاء والعداوة من المسلم اتّجاه الكافر، وكذلك يحرّم العداوة والبغضاء من كافرٍ اتّجاه مسلم، بل أمر المسلمين أن يبرّوا الكافرين والمشركين والمُلحدين الذين لا يقاتلونكم في دينكم فيعيشون معكم مسالمين؛ فأمركم الله أن تبرّوهم وتُقسِطوا إليهم بالعدل وإقامة العلاقات التجاريّة والصداقة وإظهار المودّة لهم والأخوّة من باب الإنسانية كونكم أبناء رجل وامرأة إخوة في الدّم من حواء وآدم، فأطيعوا أمر الله في محكم كتابه القرآن العظيم في قول الله تعالى:
{ عَسَى اللَّـهُ أَن يَجْعَلَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ الَّذِينَ عَادَيْتُم مِّنْهُم مَّوَدَّةً ۚ وَاللَّـهُ قَدِيرٌ ۚ وَاللَّـهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ ﴿٧﴾ لَّا يَنْهَاكُمُ اللَّـهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ أَن تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ ﴿٨﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الممتحنة ].

وربمّا يود الّذين يهرِفون بما لا يعرفون أن يقولوا: يا ناصر محمد اليماني، ألم يقل الله تعالى:
{ لَّا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ يُوَادُّونَ مَنْ حَادَّ اللَّـهَ وَرَسُولَهُ وَلَوْ كَانُوا آبَاءَهُمْ أَوْ أَبْنَاءَهُمْ أَوْ إِخْوَانَهُمْ أَوْ عَشِيرَتَهُمْ ۚ أُولَـٰئِكَ كَتَبَ فِي قُلُوبِهِمُ الْإِيمَانَ وَأَيَّدَهُم بِرُوحٍ مِّنْهُ ۖ وَيُدْخِلُهُمْ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا ۚ رَضِيَ اللَّـهُ عَنْهُمْ وَرَضُوا عَنْهُ ۚ أُولَـٰئِكَ حِزْبُ اللَّـهِ ۚ أَلَا إِنَّ حِزْبَ اللَّـهِ هُمُ الْمُفْلِحُونَ ﴿٢٢﴾ } صدق الله العظيم [ سورة المجادلة ]؟

فمن ثم يردّ على السائلين الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني وأقول: "إنّ القرآن قرآنٌ عربيّ مبين، ويقصد الله بقوله يحادّون الله ورسوله: أي يحاربون الله ورسوله، أولئك نهانا الله عن ولايتهم وعن ولاية من يظاهرونهم على الاعتداء على المسلمين، تصديقًا لقول الله تعالى:
{ لَّا يَنْهَاكُمُ اللَّـهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ أَن تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ ﴿٨﴾ إِنَّمَا يَنْهَاكُمُ اللَّـهُ عَنِ الَّذِينَ قَاتَلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَأَخْرَجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ وَظَاهَرُوا عَلَىٰ إِخْرَاجِكُمْ أَن تَوَلَّوْهُمْ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُمْ فَأُولَـٰئِكَ هُمُ الظَّالِمُونَ ﴿٩﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الممتحنة ]."

فاتّقوا الله واستجيبوا لداعي خليفته المهديّ ناصر محمد لتحقيق سُبل السلام العالمي بين الإنسان وأخيه الإنسان وتحقيق التعايش السلمي بين المسلم والكافر وتحقيق الأمن والأمان والعدل وعدم إهلاك الحرث والنسل ونسف إرهاب الكافر على المسلم بحجّة إسلامه ونسف إرهاب المسلم على الكافر بحجّة كفره فتصبحون بنعمة الله إخوانًا.

وربَما يودّ كافّة شعوب المسلمين أن يقولوا بلسانٍ واحد: يا ناصر محمد اليماني، لقد أفرحتنا بعنوان البيان أنّك سوف تُعلمنا متى ليلة القدر في شهر رمضان لعامنا هذا 1442، فأخبرنا متى ليلة القدر في شهر رمضان القادم إن كنت من الصادقين أنّ الشمس أدركت القمر فولد الهلال من قبل موعده واجتمعت به الشمس وقد هو هلالًا، فأخبرنا كيف نعلم علم اليقين ليلة القدر خير من ألف شهر؟.. فمن ثمّ يردّ عليكم الإمام المهديّ ناصر محمد وأقول: "إنّها في عامكم هذا 1427"، ولربما يودّ كافّة شعوب المسلمين أن يقولوا: "أتتّخذنا هزوًا يا ناصر محمد؟ فأين أنت نايم؟ فقد انقضى من شهر رمضان لعام 1427 إلى شهر رمضان لعام 1442 خمسة عشر عامًا"، فمن ثم يردّ عليكم الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني: "اللّهم نعم، وأعلم ذلك علم اليقين، فإنّي لا أستهزئ بكم وأعوذ بالله أن أكون من الجاهلين، بل عام القمر ثلاثون عامًا في محكم القرآن العظيم، ونصف عام القمر خمسة عشر عامًا، وعليه فإنّي أشهد لله وكفى بالله شهيدًا أنّ ليلة النصف لشهر رمضان لعامكم هذا حتمًا سوف تكون بعد غروب شمس الأحد ليلة الإثنين ليلة شروق القمر البدر لشهر رمضان لعامكم هذا 1442؛ ذلكم كون الشمس سوف تدرك القمر فيتولّد هلال رمضان يوم الأحد فيغرب قبل غروب شمس الأحد وقد هو هلالًا وهو في حالة إدراك فتجتمع به الشمس وقد هو هلالًا فجر يوم الإثنين تاريخ 1\ رمضان /١٤٤٢/ بحسب غرّة الإدراك التي لا ولن يراها كافة البشر كون الشمس سوف تدرك هلال شهر رمضان، فكيف ترون هلالًا سوف يغرب قبل غروب الشمس؟ وإنّا لصادقون، ذلك كوني أعلم علم اليقين أنّ الشمس أدركت القمر فوُلد الهلال من قبل الكسوف واجتمعت به الشمس وقد هو هلالًا، ولكنّ الصادّون عن آية الإدراك الكونيّة الخارقة للفيزياء الكونيّة يصدّونكم عن التصديق من بعد ما يتبيّن لكم أنّه الحق فتبدأون في جدال علماء الفلك فتقولون: كيف يُبدر القمر قبل ليلة النصف من الشهر؟ فهذا يعني أنّه فات علينا من صيام شهر رمضان! فما كان من علماء الفلك إلّا أن يستخفّوا بعقولكم فيقنعوكم بخزعبلات من عند أنفسهم أنّ هذا يعود للوضع الهندسيّ للأرض! ألا والله الذي لا إله غيره أنّهم لَيقولون لكم ذلك من عند أنفسهم وهم يعلمون أنّهم لكاذبون برغم أنّهم علماء فيزيائيّون ولكنّهم لا يريدون أن يتنازلوا عن المسلّمة العلمية الفلكية اليقينيّة الفيزيائيّة الحقّ منذ أن خلق الله السماوات والأرض؛ أنّه لا ينبغي لهلال الشهر الجديد أن يولد من قبل الاقتران المركزيّ للشمس والقمر، فتلك قاعدة فيزيائيّة كونيّة واحدة موحّدة لا يختلف عليها اثنان من البشر من علماء الفلك الفيزيائيّين سواءً المسلمين أو المشركين أو الملحدين، كون لحظة الاقتران المركزيّ للشمس والقمر تحدث في لحظة عالميّة محسوبة بالساعة والدقيقة والثانية؛ فيكون ليل القمر المُحاق باتّجاه الأرض، فهذا ما وجدوه علماء الفلك الفيزيائيّين على الواقع الحقيقي لا شكّ ولا ريب بالحسبة الفيزيائيّة في منتهى الدقة 1+1=2، فتلك قاعدة فيزيائيّة كونيّة لا يختلف عليها اثنان من علماء الفلك في البشر مسلمهم والكافر، كون هذا ما وجدوه على الواقع الحقيقي وأنّ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني على تلك القاعدة الفلكيّة الفيزيائيّة لَمِن الشاهدين، ويُسمِّي الله تلك القاعدة الفلكيّة العُرجون القديم في مُحكم القرآن العظيم، تصديقًا لقول الله تعالى:
{ وَالْقَمَرَ قَدَّرْنَاهُ مَنَازِلَ حَتَّىٰ عَادَ كَالْعُرْجُونِ الْقَدِيمِ ﴿٣٩﴾ لَا الشَّمْسُ يَنبَغِي لَهَا أَن تُدْرِكَ الْقَمَرَ وَلَا اللَّيْلُ سَابِقُ النَّهَارِ ۚ وَكُلٌّ فِي فَلَكٍ يَسْبَحُونَ ﴿٤٠﴾ } صدق الله العظيم [ سورة يس ].

ألا وأنّ العُرجون القديم هو وجه القمر قبل منازل أهلّة نور هلال الشهر؛ كون ليل القمر باتّجاه الأرض، ويستمرّ ذلك الوضع حتى ينفصل قرص القمر عن الشمس شرقًا فمِن ثمّ يبدأ الهلال بالتكوين فيصير هلالًا بعد انقضاء اثنتي عشرة ساعة في القرآن العظيم فيصبح هلال منزلة ليلة الشهر الأولى بعد انقضاء شهر شعبان، فكلٌّ حسب أفق غروبه تصديقًا لقول الله تعالى:
{ شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ ۚ فَمَن شَهِدَ مِنكُمُ الشَّهْرَ فَلْيَصُمْهُ ۖ وَمَن كَانَ مَرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ ۗ يُرِيدُ اللَّـهُ بِكُمُ الْيُسْرَ وَلَا يُرِيدُ بِكُمُ الْعُسْرَ وَلِتُكْمِلُوا الْعِدَّةَ وَلِتُكَبِّرُوا اللَّـهَ عَلَىٰ مَا هَدَاكُمْ وَلَعَلَّكُمْ تَشْكُرُونَ ﴿١٨٥﴾ } صدق الله العظيم [ سورة البقرة ].

فلستُ من الجاهلين يا معشر علماء الفلك الفيزيائيّين! فإنّي مصدّق بعلمكم بشرط أن لا يُخالف لفيزياء القرآن في علوم الفلك، ولكن يا معشر علماء الفلك الفيزيائيّين (ولا نقصد المُنجّمين أصحاب الحظِّ والتطيُّر الضّالين، بل أقصد علماء الفلك الفيزيائيّين) فلا تجدونهم يتكلّمون عن الحظِّ والخرابيط والإفك (حاشا عليهم) بل تجدونهم يكلّمونكم عن مواعيد الكسوف الشمسي والخسوف القمري ودوران الكواكب بناءً على حسابات فيزيائيّة؛ فليس لديهم تنجيم، وأصحاب حظوظ الأبراج تفاهات وخزعبلات وإفك ما أنزل الله به من سلطان، ومنهم أولياء الشياطين وكذبَ المنجّمون أولياء الشياطين؛ بل نقصد علماء الفلك الفيزيائيّين، فما أريد أن أقوله لهم جميعًا أنّ قاعدة العُرجون القديم للقمر والشمس وهي بما تسمّونها بالاقتران المركزي للقمر والشمس قاعدة فلكيّة فيزيائيّة منذ أن خلق الله السماوات والأرض، غير أنّها ليست إلى ما لا نهاية كون للحياة الدنيا نهاية تبدأ بحدوث أشراط الساعة الكبرى، تصديقًا لقول الله تعالى: بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ
{ وَالشَّمْسِ وَضُحَاهَا ﴿١﴾ وَالْقَمَرِ إِذَا تَلَاهَا ﴿٢﴾ وَالنَّهَارِ إِذَا جَلَّاهَا ﴿٣﴾ وَاللَّيْلِ إِذَا يَغْشَاهَا ﴿٤﴾ } صدق الله العظيم [ سورة الشمس ].

ومنها أن تدرك الشمس القمر فتَلاها بسبب حدوث المُحاق قبل ميعاده فيولد الهلال من قبل الاقتران فتجتمع به الشمس وقد هو هلالًا، فهذا ما سوف يحدث في تأريخ يوم الأحد 29 شعبان لعامكم هذا 1442، ففي يوم الأحد يحدث المُحاق لنهاية شهر شعبان ويبدأ التكوين لهلال شهر رمضان من قبل الاقتران فيغرب قبل غروب شمس الأحد ليلة الإثنين وقد هو هلالًا؛ بمعنى أنّ غُرّة شهر رمضان بحساب الإدراك هي مساء يوم الأحد ليلة الإثنين، ولن يشاهد هلال رمضان في أوائله كون الشمس أدركت القمر شرط تكرّر من أشراط الساعة الكُبَر، وبما أنّ الشمس أدركت القمر في أقصى الشرق فهذا يعني أنّه إدراك كبير من نوع إكس إكس، وأمّا بدر شهر ليلة القدر (خيرٌ من ألفِ شهر) لشهر رمضان القادم لعامكم هذا 1442 فهو مساء يوم الأحد ليلة الإثنين؛ أي بعد غروب شمس يوم الأحد ليلة الإثنين.

وربما يودّ كافّة علماء الفلك في البشر مسلمهم والكافر أن يقولوا: "يا ناصر محمد اليماني هذا هو المستحيل، كون ليلة البدر هي نفسها غرّة الشهر القمري وهي ذاتها تأتي ليلة النصف من الشهر القمري، فيبدو أنّك تجهل الحسابات الفلكيّة الفيزيائيّة! ألا تعلم يا ناصر محمد أنّ محاق قمر شعبان سوف يكون الساعة الخامسة وواحد وثلاثين دقيقة فجر الإثنين؟ فهذا يستحيل أن تكون ليلة نصف شهر رمضان لعامنا هذا 1442 بعد غروب شمس الأحد ليلة الإثنين؟ فهذا علم فيزيائيّ فلكيّ في منتهى الدّقة لا يختلف عليه كافّة علماء الفيزياء الفلكيّة ولو في ثانية واحدة! وهي لحظة عالميّة تسمّى الاقتران المركزيّ للشمس والقمر المُحاق، ولن يحدث مُحاق قمر شعبان إلّا فجر يوم الإثنين الساعة الخامسة وواحد وثلاثين فجر الإثنين بتوقيت مكة المكرمة، ولا يختلف عليها اثنان من البشر لحظة عالميّة؛ يعني الساعة الثانية وواحد وثلاثون بالتوقيت العالمي".

فمن ثم يردّ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني على كافة السائلين وأقول: " وأنا على ذلك من الشاهدين أنّ هلال الشهر الجديد لا ولن ينبغي له أن يولد من قبل الاقتران المركزيّ؛ كون اقتران الشمس بالقمر ووجهُه مظلم تمامًا من الضياء؛ لا الشمس ينبغي لها أن تُدرك القمر منذ أن خلق الله السماوات والأرض، تصديقًا لقول الله تعالى:
{ وَالْقَمَرَ قَدَّرْنَاهُ مَنَازِلَ حَتَّىٰ عَادَ كَالْعُرْجُونِ الْقَدِيمِ ﴿٣٩﴾ لَا الشَّمْسُ يَنبَغِي لَهَا أَن تُدْرِكَ الْقَمَرَ وَلَا اللَّيْلُ سَابِقُ النَّهَارِ ۚ وَكُلٌّ فِي فَلَكٍ يَسْبَحُونَ ﴿٤٠﴾ }
[ سورة يس ].

ولكنّ هذه معجزة كونيّة خارقة للفيزياء الفلكيّة جعلها الله آية عالميّة للتّصديق بخليفة الله على العالمين الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني؛ له وحده لا يعلم بها غير خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني علم اليقين، ويشرق القمر البدر لِلَيلة النصف من شهر رمضان بعد غروب شمس يوم الأحد ليلة الإثنين؛ ذلك كون الشمس سوف تدرك القمر فيولد الهلال يوم الأحد ويغرب قبل غروب شمس يوم الأحد ليلة الإثنين بتوقيت مكّة المكرّمة وقد هو هلال أوّل الشهر (رمضان) وليس هلال آخرِ الشهر (شعبان)، فلستُ من الجاهلين وأعلم أنّه لن يُشاهِد هلال أوّل شهر رمضان بعد غروب شمس الأحد ليلة الإثنين ليلة غرّة رمضان أحدٌ في العالمين؛ كون هلال رمضان سوف يغرب قُبيل غروب شمس يوم الأحد ليلة الإثنين وهو في حالة إدراك فتجتمع به الشمس وقد هو هلالًا في ميقات إقامة صلاة الفجر عند ميقات بداية الظّل بتوقيت مكة المكرمة، وأمّا شروق القمر البدر لشهر رمضان لعامكم هذا 1442 فبعد غروب شمس الأحد ليلة الإثنين يشرق القمر بدرًا للنّاظرين في كافّة مشارق العالمين بعد غروب شمس الأحد ليلة الإثنين؛ ليلة النصف لشهر رمضان لعامكم هذا 1442 خيراً من ألف شهر شمسيّ، ألَا وأنّ طول الشهر الشمسيّ ألف شهر ويعدل ثلاثة وثمانون عامًا وأربعة أشهر مِمّا تعدّون، فأمّا ثلاثة وثمانون عامًا فتنتهي بنهاية شهر رمضان، وأمّا الأربعة أشهر فتلك الأشهر الحُرم تنتهي بنهاية شهر محرّم الرابع من الأشهر الحُرُم وهو ذاته الشهر الثاني عشر من السنة القمريّة، فهل أنتم مؤمنون قبل أن يأتي وعد الفتح بكوكب العذاب سقر؟ أو أمر من عند الله مباشرةً فتصبحوا نادمين.

ويا أهل اليمن، إذا لم يَغْزُكم الله بعدُ بجنود الله الصغرى الأشدّ بطشًا فاعلموا علم اليقين أنّ آية طوفان سبأ -سيل العرم- على اليمن (عموم) آية حتميّة الوقوع.

ويا معشر العالمين، نبشّركم بآيات عذاب تترى جوًّا وبرًّا وبحرًا للعالمين إضافة إلى ما سوف يملي عليهم الله ممّا يسمّونه كورونا، وما هو بكورونا! فأبشروا بجنود جديدة وشديدة البأس ممّا تسمّونها فيروسات كورونا ما لم تكونوا تحتسبون! فكما يقول المثل العربيّ: (فلم تروا بعدُ إلا شعرة من أذن البعير)، بل الكيد المتين آتٍ من ربّ العالمين في القريب العاجل وتبطل كافّة لقاحاتكم فلا تُغني عنكم من كيد الله شيئًا إلّا كما يُغني الظمآن سراب بِقِيعَةٍ في صحراء يحسبه الظمآنُ ماءً حتى إذا جاءه لم يجده شيئًا.

ويا أهل اليمن، إذا لم يصبْكم الله بجنود كورونا فلن يمسح على رؤوسكم وأنتم معرِضون والإمام المهديّ بينكم! وعليه فإنّي الإمام المهديّ أؤكّد لكم مجيء آية طوفان سيل العرم ووادي إِرَم وعلى عموم اليمن، ولا تقربوا ما سوف تكشفه الفيضانات فإنّها ملكُ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني خليفة الله على اليمن والعالم بأسره، ولكلٍّ منكم منها نصيب وللأقطار المنهارة اقتصاديًّا في دول العالمين نصيب كون اليمن عاصمة الخلافة الإسلاميّة العالمية، وما خبّأ الله مُلك الأمم الأولى اليمانيّة عبثًا؛ بل لخليفة الله على العالمين بقَدَر مقدور في الكتاب المسطور لبناء اليمن عاصمة الخلافة الإسلاميّة العالميّة، فبعد أن تخضع أعناق الأحزاب في اليمن لخليفة الله الامام المهديّ ناصر محمد فلكلّ حادثٍ حديث.

ويا علي عبد الله صالح، لَسوف تُخرجك الفيضانات من وَكرك الخفيّ أينما كنت! فإنّي أعلم أنّي لم أفترِ على الله أنّك آية تصديق للعالمين رغم أنفك! ولسوف تعلمون إنّا لَصادقون في كل شيءٍ بإذن الله! ولا أحدّد ميقات العذاب وإنّما نؤكّد مجيئه، والحُكمُ لله خير الفاتحين، وسلامٌ على المُرسَلين والحمدُ للهِ ربِّ العالمين..

خليفة الله على العالمين الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
____________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..