الإمام ناصر محمد اليماني
01 - محرم - 1439 هـ
20 – 09 – 2017 مـ
11:54 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
https://nasser-alyamani.org/showthre...A7%D8%A8%D9%8A
__________
Amerudisha Jibu Al'Imama Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Kwa Ma'Fadhilat Alsheikhen Ma Shekhe wawili Swadik Al'beydhani Na Mwenzake Ibrahim Al'Wahabi


Bismillah Al'Rahman Al'Rahim Rabi ..
" Kusajili ufwataji"... Na kwa vile imetimu kukopi Bayana ambao ni msingi ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani hio kwenu ni jibu letu Kwa Fadhilat Al'Sheikh Muhishimiwa Suleman Al'Ajlan ambae ametangaza vita katika utangazaji kwanjia ya Chanel ya Swafaa, Na alikua ataka kutimiza Kipindi cha " Alitijah Almuakis" Mwelekeo kinyume Na kukatiza na haitotimul lengo lake; Bali tuliagiza kufunguliwe Sehemu hususi yake ajili ya mazungumzo kwenye uso wa tovuti yetu Tovuti ya Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Muntadayat Al'Bushra Al'islamia, Na hivo mpaka afwate mazungumzo wote Waislamu Kutoka Kwa Wakubwa Wa Wanazuoni Wa Umma walio ma'ustadhi kutoka pembe zote ulimwenguni, Alishindwa Fadhilat Al'Shekh Suleman kutokana na Uwazi zaidi Wa Bayana ya haki kwa Al'Quran Na Kwa Sunna ya Bayana na hakuweza kujibu kwenye sehemu yake ambao tulio mwekea hususi kwa jina lake kumkirimu yeye ikiwa anataka kutetea anae chafua Dini ikiwa ni katika wakweli kwamba yeye yuko katika haki na Nasser Muhammad yuko katika upotevu ulio wazi, Akawa Suleman Alajlan amenyamazishwa Ulimi wake kwa panga la Al'imam Al'mahdi Kwa muhakam ilio Wazi mana yake Al'Quran Na Sunna Ya Bayana Ya Haki ambao ni kutoka kwa Al'Rahman Ndio Lakini haikhitalifiani Sunna Ya Bayana Alnabawia Za haki Na muhkam Al'Quran, Na Hakutujibu Suleman kwasababu nguvu Ya hoja na utawala, kutoka kwa muhkam ilio wazi maana yake Al'Quran na kutoka kwa ma hadithi ya sunna ya bayana ya kweli kutoka kwa Al'Rahman, Na Huwenda Allah Akamongoza Suleman Al'ajlan Lakini ismchukuwe utukufu kwa dhambi afwate Shetani ba'ada kusmamisha hoja juu yake kutoka kwa muhakam ilio wazi Al'Quran na Sunna ya Bayani.

Na kadhalika nachalenge Ma Shekhe Wawili Fadhilat Alshekh Al'daktor Swadik Muhammad Al'baydhani Ama Fadhilat Al'Shekh Ibrahim Alwahabi Kwamba Wafanye Sawa Moja Wao Ama Wote Wawili pahala pa Fadhilat Alshekh Suleman Alajlan alafu watete dini Anae chafua alafu wajibu badala ya Fadhilt Alshekh Suleman Alajlan, Na naapa Qasam kwa Allah Al'Rahman hamuwezi nyote wawili ila muwe mtatetea kuchafuke Dini ya Shetani, Lakini Hyu Hapa Farasi Na Hu Hapa Uwanja, Na Washuhudie Thukuli zote mbili kwamba nyinyi hamutoweza hata lau kama badhi yenu juu ya badhi wenye kusaidiana na kuinuana migongo, Lakini mimi sijapigwa na pepo za shetani; Bali Allah Anamfanya Shetani Ndio rafiki kwa yule atakae kupa mngongo kuhusu kuhukumiwa kwa muhakam ilio wazi Hukumu ya Al'quran. Kusadikisha Kauli ya Al'Rahman Katika muhakam Al'Quran kwenye kauli yake Ta3ala:

{وَمَن يَعْشُ عَن ذِكْرِ الرَّحْمَٰنِ نُقَيِّضْ لَهُ شَيْطَانًا فَهُوَ لَهُ قَرِينٌ (36) وَإِنَّهُمْ لَيَصُدُّونَهُمْ عَنِ السَّبِيلِ وَيَحْسَبُونَ أَنَّهُم مُّهْتَدُونَ (37) حَتَّىٰ إِذَا جَاءَنَا قَالَ يَا لَيْتَ بَيْنِي وَبَيْنَكَ بُعْدَ الْمَشْرِقَيْنِ فَبِئْسَ الْقَرِينُ (38) وَلَن يَنفَعَكُمُ الْيَوْمَ إِذ ظَّلَمْتُمْ أَنَّكُمْ فِي الْعَذَابِ مُشْتَرِكُونَ (39) أَفَأَنتَ تُسْمِعُ الصُّمَّ أَوْ تَهْدِي الْعُمْيَ وَمَن كَانَ فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ (40) فَإِمَّا نَذْهَبَنَّ بِكَ فَإِنَّا مِنْهُم مُّنتَقِمُونَ (41) أَوْ نُرِيَنَّكَ الَّذِي وَعَدْنَاهُمْ فَإِنَّا عَلَيْهِم مُّقْتَدِرُونَ (42) فَاسْتَمْسِكْ بِالَّذِي أُوحِيَ إِلَيْكَ ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ (43) وَإِنَّهُ لَذِكْرٌ لَّكَ وَلِقَوْمِكَ ۖ وَسَوْفَ تُسْأَلُونَ (44)}

صدق الله العظيم [الزخرف].
Allah Ta3ala Asema:
{ Anaye yafanyia upofu maneno ya Rahmani tunamwekea Shet'ani kuwa ndiye rafiki yake (36) Na hakika wao wanawazuilia Njia na wenyewe wanadhani kuwa wameongoka (37) Hata atakapo tujia atasema: Laiti ungeli kuwako baina yangu na wewe kama umbali baina ya mashariki na magharibi. Rafiki mwovu mno wewe (38) Na kwa kuwa mlidhulumu, haitakufaeni kitu leo kwamba nyinyi mnashirikiana katika adhabu (39) Je! Unaweza kuwasikilizisha viziwi, au unaweza kuwaongoa vipofu na waliomo katika upotofu ulio wazi (40) Na hata tukikuondoa, Sisi tutalipiza kisasi chetu kwao (41) Au tutakuonyesha tulio waahidi. Nasi bila ya shaka tuna uweza juu yao (42) Basi wewe yashike yaliyo funuliwa kwako. Hakika wewe uko kwenye Njia Iliyo Nyooka (43) Na hakika haya ni ukumbusho kwako na kwa kaumu yako. Na mtakuja ulizwa (44)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alzukhruf].
Na Salam Juu Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabilalamin..
Abdullah Na Khalifa Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
____________________________________


اقتباس المشاركة 270159 من موضوع ردّ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني على فضيلة الشيخين صادق البيضاني وقبيله ابراهيم الوهابي..






الإمام ناصر محمد اليماني
01 - محرم - 1439 هـ
21 – 09 – 2017 مـ
11:54 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ لمتابعة رابط المشاركــــــــة الأصليّة للبيان ]

https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=270154

___________________



ردّ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني على فضيلة الشيخين صادق البيضاني وقبيله ابراهيم الوهابي
..


بسم الله الرحمن الرحيم ربي ..

تسجيل متابعةٍ... فبما أنه تمّ نسخ البيان الأساس لدعوة المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني ذلكم ردّنا على فضيلة الشيخ المحترم سليمان العجلان الذي أعلن حرباً في الإعلام عن طريق قناة صفا، وكان يريد تحقيق برنامج الاتجاه المعاكس والمقاطعة ولم نحقق له هدفه؛ بل أمرنا بفتح قسمٍ خاصٍ له للحوار في واجهة موقعنا
موقع الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني منتديات البشرى الإسلامية، وذلك حتى يتابع الحوار كافةُ المسلمين من أكابر علماء الأمّة المثقفين من مختلف أقطار العالمين، فانهزم فضيلة الشيخ سليمان من شدّة وضوح البيان الحقّ بالقرآن وبسنّة البيان ولم يقُم بالردّ في القسم الذي خصصناه باسمه تكريماً له إنْ كان يريد أن يذود عن حياض الدين إنْ كان من الصادقين أنّه على الحقّ وناصر محمد على ضلالٍ مبينٍ، فأصبح سليمان العجلان مُخرسَ اللسانِ بسيف الإمام المهديّ بمحكم القرآن وسنّة البيان الحقّ التي من عند الرحمن فلا يختلفان سنة البيان النبويّة الحقّ مع محكم القرآن، ولم يردّ علينا سليمان بسبب قوة الحجّة والسلطان من محكم القرآن ومن أحاديث سنّة البيان الحقّ من الرحمن، وعسى الله أن يهدي سليمان العجلان فلا تأخذه العزّة بالإثم فيتّبع الشيطان من بعد إقامة الحجّة عليه من محكم القرآن وسنّة البيان.

وكذلك نتحدى الشيخين فضيلة الشيخ الدكتور صادق محمد البيضاني أو فضيلة الشيخ ابراهيم الوهابي أن يجعلا سواء أحدهما أو كلاهما في مكان فضيلة الشيخ سليمان العجلان ثم يذودا عن حياض الدين فيقومون بالردّ بدلاً عن فضيلة الشيخ سليمان العجلان. وأقسم بالله الرحمن لا تستطيعان إلا إنْ أردتما أن تذودا عن حياض دين الشيطان، فهذه الفرس وهذا الميدان. فليشهد الثقلان أنكما لا تستطيعان ولو كان بعضكم لبعضٍ ظهيراً ونصيراً، فليس بي مسّ الشيطان؛ بل يقيّضُ الله مسّ الشيطان لمن أعرض عن الاحتكام إلى محكم القرآن. تصديقاً لقول الرحمن في محكم القرآن في قوله تعالى:

{وَمَن يَعْشُ عَن ذِكْرِ الرَّحْمَٰنِ نُقَيِّضْ لَهُ شَيْطَانًا فَهُوَ لَهُ قَرِينٌ (36) وَإِنَّهُمْ لَيَصُدُّونَهُمْ عَنِ السَّبِيلِ وَيَحْسَبُونَ أَنَّهُم مُّهْتَدُونَ (37) حَتَّىٰ إِذَا جَاءَنَا قَالَ يَا لَيْتَ بَيْنِي وَبَيْنَكَ بُعْدَ الْمَشْرِقَيْنِ فَبِئْسَ الْقَرِينُ (38) وَلَن يَنفَعَكُمُ الْيَوْمَ إِذ ظَّلَمْتُمْ أَنَّكُمْ فِي الْعَذَابِ مُشْتَرِكُونَ (39) أَفَأَنتَ تُسْمِعُ الصُّمَّ أَوْ تَهْدِي الْعُمْيَ وَمَن كَانَ فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ (40) فَإِمَّا نَذْهَبَنَّ بِكَ فَإِنَّا مِنْهُم مُّنتَقِمُونَ (41) أَوْ نُرِيَنَّكَ الَّذِي وَعَدْنَاهُمْ فَإِنَّا عَلَيْهِم مُّقْتَدِرُونَ (42) فَاسْتَمْسِكْ بِالَّذِي أُوحِيَ إِلَيْكَ ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ صِرَاطٍ مُّسْتَقِيمٍ (43) وَإِنَّهُ لَذِكْرٌ لَّكَ وَلِقَوْمِكَ ۖ وَسَوْفَ تُسْأَلُونَ (44)} صدق الله العظيم [الزخرف].

وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
عبد الله وخليفته الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
______________




اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..